Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Singida wahimizwa kujenga nyumba bora.

Na, Mustapha  Kapalata,

Singida

 

SHIRIKA la Umeme Nchini Tanesco kwa kushirikiana na wakala wa usambazaji umeme vijijini awamu ya pili limewataka baadhi ya wananchi wa mkoa wa Singida kujenga Nyumba Bora ili kupata fursa ya huduma ya umeme.

 

TANESCO imesema hiyo ni hatua mojawapo ya kuimarisha usalama wa Nyumba na matumizi ya Nishati hiyo.

 

Mradi huo mubwa unajumuisha ujenzi wa lain kubwa ya usambazaji yenye urefu wa kilometa 659, uwekaji wa mashine umba 107 na Ujenzi wa lain ndogo...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa Singida wahimizwa kulima Mtama

DSC08901

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Mbeya,Ahmed Msangi (wa tatu kulia) akishiriki mchakamchaka muda mfupi kabla mwenge wa uhuru kukibidhiwa kwa uongozi wa mkoa wa Singida, katika kijiji cha Rungwa tarafa ya Itigi wilaya ya Manyoni.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKAZI wa Manispaa ya Singida,wamehimizwa kulima zao la mtama linalohimili ukame kama inavyoelekezwa na uongozi wa mkoa ili waweze kuondokana na uhaba wa chakula katika kipindi chote cha mwaka.

Wito huo umetolewa hivi karibuni na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida

SHOO..1

Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli amshawishi Mo kujenga kiwanda Singida

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji, kujenga kiwanda mkoani humo, ili pamoja na mambo mengine, kupunguza uhaba wa ajira.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe

IMG_2403 (600x350)

Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam.

IMG_2440 (600x338)

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida

DSC03668

Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa  maombi maalum...

 

11 years ago

Dewji Blog

PSPF kujenga nyumba 200 za kuwakopesha wanachama wake Singida

DSC08020

Mkuu wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma (PSPF)  mkoa wa Singida, Bw. Saidi Majimoto, akihamasisha wanafunzi wa ualimu kujinga na mfuko wa PSPF ili kujihakikishia kupata mafao ya kukidhi mahitaji.Kushoto ni afisa wa PSPF, Andrew Mtima.

DSC08012

Baadhi ya wanafunzi wa ualimu chuo cha Lake Hill mjini Singida,wakimsikiliza mkuu wa mfuko wa pensheni kwa watumisi wa umma (PSPF), Saidi Majimoto (hayupo kwenye picha)akiwahamasisha kujiunga na mfuko huo ili kufaidika na mafao lukuki.

DSC08013

Bango la...

 

10 years ago

Habarileo

Makandarasi waagizwa kujenga barabara bora

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.MAKANDARASI walioko chini ya Wakala wa Taifa wa Barabara (TANROADS) mkoani Kagera wameshauriwa kufanya kazi kwa viwango ili barabara walizokabidhiwa kujenga ziweze kupitika kwa urahisi ikiwa ni njia ya kukuza uchumi wa wananchi wa mkoa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani