Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Singida wahimizwa kulima Mtama

DSC08901

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Mbeya,Ahmed Msangi (wa tatu kulia) akishiriki mchakamchaka muda mfupi kabla mwenge wa uhuru kukibidhiwa kwa uongozi wa mkoa wa Singida, katika kijiji cha Rungwa tarafa ya Itigi wilaya ya Manyoni.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKAZI wa Manispaa ya Singida,wamehimizwa kulima zao la mtama linalohimili ukame kama inavyoelekezwa na uongozi wa mkoa ili waweze kuondokana na uhaba wa chakula katika kipindi chote cha mwaka.

Wito huo umetolewa hivi karibuni na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wakazi Singida wahimizwa kujenga nyumba bora.

Na, Mustapha  Kapalata,

Singida

 

SHIRIKA la Umeme Nchini Tanesco kwa kushirikiana na wakala wa usambazaji umeme vijijini awamu ya pili limewataka baadhi ya wananchi wa mkoa wa Singida kujenga Nyumba Bora ili kupata fursa ya huduma ya umeme.

 

TANESCO imesema hiyo ni hatua mojawapo ya kuimarisha usalama wa Nyumba na matumizi ya Nishati hiyo.

 

Mradi huo mubwa unajumuisha ujenzi wa lain kubwa ya usambazaji yenye urefu wa kilometa 659, uwekaji wa mashine umba 107 na Ujenzi wa lain ndogo...

 

9 years ago

Michuzi

NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza...

 

9 years ago

GPL

NAPE ATOA SHUKRANI KWA WAKAZI WA MTAMA, AAHIDI KUTOWAANGUSHA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.   Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI

Waziri wa Madini Dotto Biteko amewaruhusu wakazi wa kijiji cha Mundindi wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuendeleza mashamba yao kwa kulima mazao ya muda mfupi mpaka pale muwekezaji wa mradi wa liganga atakapowalipa fidia zao.

Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.

Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara, kilimo vyainua kipato cha wakazi wa Singida

Ukibahatika kuutembelea Mkoa wa Singida na kurejesha kumbukumbu zako miaka 10 nyuma unaweza usiamini yanayotokea hivi sasa kwenye mkoa huo. Unaweza kushangaa na kujiuliza maswali mengi jinsi mkoa huo unavyobadilika na kuvutia watu wengi sasa.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN, Serikali washukuru wakazi wa Singida kujimilikisha miradi ya maendeleo

IMG_4100

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na mmoja wa watendaji wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida mara tu alipowasili kijiji cha Puma kukagua mradi wa ufugaji kuku wa kusaidia watu wanaoishi na VVU unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kupitia TACAIDS. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone.

Na Modewjiblog team, Singida

MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu

SAM_1999

Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2002_1

 

Na Jumbe Ismailly, Singida      

WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani