Barrick yawafunda makandarasi
Makandarasi wa Mkoa wa Shinyanga wanaoomba kazi migodi ya dhahabu Buzwagi na Bulyanhulu, wametakiwa kufuata sheria na taratibu, huku wakizingatia kiwango cha juu cha maadili ili kupata fursa ya kufanya kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
TIC yawafunda wafanyabiashara
WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kutumia fursa waliyopata wakati wa kongamano la pili la biashara kati ya Tanzania na China kujenga mtandao wa kibiashara utakaodumu kwa faida yao na nchi kwa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Brela yawafunda wafanyabiashara Songea
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) imeendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kujitokeza kusajili majina ya biashara zao, ili ziweze kurasimishwa. Akizungumza kwenye semina ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara mjini hapa...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Chadema yawafunda walioshinda mitaa
11 years ago
Tanzania Daima14 May
SSRA yawafunda waajiri Tabora
WAAJIRI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwachagulia watumishi kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na pia wameaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wao kwa wakati ili kuondoa usumbufu wanapostaafu. Akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
FIFA yawafunda wanachama Cecafa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Jerome Valcke, jana alishindwa kutua nchini kufungua semina ya mawasiliano kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xq8VwENi8DA/VRMBILWwSHI/AAAAAAAHNPQ/xVAzGYL-tDI/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAFUNDA WAANDISHI WA HABARI WA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
Akifungua mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa utaratibu wa Kikao Kazi Mkurugenzi Mtendajiwa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amesema kazi ya kutokomeza umaskini nchini inahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari.
Bwana Mwamanga amesema tangu TASAF...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLwPoChWxxQ/U2n5mMASPRI/AAAAAAACgaY/PCT34KQzmzs/s72-c/New+Picture.png)
TASAF YAWAFUNDA WATAALAM WA KISEKTA JUU YA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI-PSSN
Bwana Mwamanga amesema hayo jiji Dar es salaam alipofungua warsha ya wataalamu wa kisekta kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ambao sekta...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Wenje aonya makandarasi
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....
11 years ago
Habarileo02 Jun
Serikali yawaonya makandarasi
SERIKALI imeonya makandarasi wenye tabia ya kuhonga watumishi wa Serikali ili wapatiwe zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali kuacha mara moja.