Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brela yawafunda wafanyabiashara Songea

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) imeendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kujitokeza kusajili majina ya biashara zao, ili ziweze kurasimishwa. Akizungumza kwenye semina ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara mjini hapa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TIC yawafunda wafanyabiashara

WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kutumia fursa waliyopata wakati wa kongamano la pili la biashara kati ya Tanzania na China kujenga mtandao wa kibiashara utakaodumu kwa faida yao na nchi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Songea waendelea na mgomo

WAFANYABIASHARA  ya  maduka  katika  Halmashauri  ya Manispaa  ya  Songea, mkoani  Ruvuma, wameingia  katika  siku  ya  tatu  ya  mgomo  usiokuwa   na  kikomo, hali ambayo imesababisha  adha  kubwa  kwa  wakazi  wa  manispaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Songea walazimishwa kugoma

>Baadhi ya wafanyabiashara wa mjini Songea wamelazimishwa na wenzao kuingia katika mgomo wa kupinga matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti za EFD.

 

11 years ago

Mwananchi

Barrick yawafunda makandarasi

Makandarasi wa Mkoa wa Shinyanga wanaoomba kazi migodi ya dhahabu Buzwagi na Bulyanhulu, wametakiwa kufuata sheria na taratibu, huku wakizingatia kiwango cha juu cha maadili ili kupata fursa ya kufanya kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawafunda waajiri Tabora

WAAJIRI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwachagulia watumishi kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na pia wameaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wao kwa wakati ili kuondoa usumbufu wanapostaafu. Akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

FIFA yawafunda wanachama Cecafa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Jerome Valcke, jana alishindwa kutua nchini kufungua semina ya mawasiliano kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yawafunda walioshinda mitaa

Baada ya kuibuka na ushindi wa wenyeviti 65 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema viongozi hao wanapaswa kuonyesha tofauti ya kiutendaji dhidi ya viongozi wa CCM kwa kurejesha misingi ya haki, uwajibikaji kwa watu wote watakaowasimamia.

 

10 years ago

Michuzi

TASAF YAWAFUNDA WAANDISHI WA HABARI WA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

 Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendelea kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari ili waweze  kutumia vyombo vya habari vilivyoko kwenye maeneo yao kutangaza habari za Mpango wa kunusuru kaya masikini unaoratibiwa naMfuko huo.
Akifungua mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa utaratibu wa Kikao Kazi Mkurugenzi Mtendajiwa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amesema kazi ya kutokomeza umaskini nchini inahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari.
Bwana Mwamanga amesema tangu TASAF...

 

10 years ago

TheCitizen

Register your business in only 8 hours: Brela

>It is now possible to register a company in Tanzania in just eight hours, the Business Registration and Licensing Agency (Brela) has said.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani