Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yawafunda wanachama Cecafa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Jerome Valcke, jana alishindwa kutua nchini kufungua semina ya mawasiliano kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Fifa yaahidi kuisaidia Cecafa

>Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeahidi kuzisaidia timu zinazotoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ili zifanikiwe zaidi katika soka na kuweka ushindani duniani kote.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER:Cecafa backs Blatter’s Fifa bid

Sepp Blatter’s bid for a fifth term as president of the world football governing body (Fifa) has received a vote of support from the Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa).

 

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

11 years ago

Mwananchi

Barrick yawafunda makandarasi

Makandarasi wa Mkoa wa Shinyanga wanaoomba kazi migodi ya dhahabu Buzwagi na Bulyanhulu, wametakiwa kufuata sheria na taratibu, huku wakizingatia kiwango cha juu cha maadili ili kupata fursa ya kufanya kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TIC yawafunda wafanyabiashara

WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kutumia fursa waliyopata wakati wa kongamano la pili la biashara kati ya Tanzania na China kujenga mtandao wa kibiashara utakaodumu kwa faida yao na nchi kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yawafunda walioshinda mitaa

Baada ya kuibuka na ushindi wa wenyeviti 65 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema viongozi hao wanapaswa kuonyesha tofauti ya kiutendaji dhidi ya viongozi wa CCM kwa kurejesha misingi ya haki, uwajibikaji kwa watu wote watakaowasimamia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Brela yawafunda wafanyabiashara Songea

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) imeendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kujitokeza kusajili majina ya biashara zao, ili ziweze kurasimishwa. Akizungumza kwenye semina ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara mjini hapa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawafunda waajiri Tabora

WAAJIRI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwachagulia watumishi kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na pia wameaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wao kwa wakati ili kuondoa usumbufu wanapostaafu. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani