Chadema yawafunda walioshinda mitaa
Baada ya kuibuka na ushindi wa wenyeviti 65 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema viongozi hao wanapaswa kuonyesha tofauti ya kiutendaji dhidi ya viongozi wa CCM kwa kurejesha misingi ya haki, uwajibikaji kwa watu wote watakaowasimamia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Chadema kujipima serikali za mitaa
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Chadema: Uchaguzi Serikali za Mitaa ulihujumiwa
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
CHADEMA yalia rafu serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (CHADEMA), kimelia kufanyiwa fitna mbalimbali ili kukifanya kisishiriki ipasavyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 4 mwaka huu. Kati ya mbinu hizo...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
CHADEMA Mbeya yawaonya wasimamizi serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilaya ya Mbeya Mjini, kimesema hakitavumilia msimamizi wa uchaguzi atakayeonyesha hali ya kukipendelea Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s72-c/MAHAKAMANI.jpg)
CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7uVif_4ZmpY/VZQ6wxO96yI/AAAAAAAAFMU/1o0hF3cGUM0/s1600/MAHAKAMANI.jpg)
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Makilagi: Chadema ‘imeiua’ CUF, NCCR Uchaguzi Mitaa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwEe2UL5wXAcsuTdTOL*TZrotjLkbUBf93VWQN9C5K-Ht5Eh1goA2cMj72rOYFKCy2TDsckph1pAY-AGPgawAXLv/vvvv.jpg?width=650)
WABUNGE WALIOSHINDA UCHAGUZI WA 2015
9 years ago
Habarileo07 Nov
Waandishi walioshinda uongozi watakiwa kuacha kazi
MUUNGANO wa Klabu za Waandishi wa Habari Nchini (UTPC), umewataka waandishi wa habari walioshinda nafasi za uongozi wa kisiasa ukiwemo ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa hivi karibuni, wajitokeze hadharani kuutangazia umma kuwa sasa wanaachana na kazi za uandishi wa habari.