Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara Songea walazimishwa kugoma

>Baadhi ya wafanyabiashara wa mjini Songea wamelazimishwa na wenzao kuingia katika mgomo wa kupinga matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti za EFD.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma

WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara kugoma tena kesho

WAKATI uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini (JWT) wakisubiri kukutana na Rais Jakaya Kikwete, baadhi ya wafanyabiashara wameanza kusambaza ujumbe wenye kushinikiza mgomo kuanzia kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Songea waendelea na mgomo

WAFANYABIASHARA  ya  maduka  katika  Halmashauri  ya Manispaa  ya  Songea, mkoani  Ruvuma, wameingia  katika  siku  ya  tatu  ya  mgomo  usiokuwa   na  kikomo, hali ambayo imesababisha  adha  kubwa  kwa  wakazi  wa  manispaa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Brela yawafunda wafanyabiashara Songea

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) imeendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kujitokeza kusajili majina ya biashara zao, ili ziweze kurasimishwa. Akizungumza kwenye semina ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara mjini hapa...

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana sekondari walazimishwa kuolewa

SHULE ya Sekondari Ikola mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Mpanda, Katavi inakabiliwa na changamoto kubwa ya idadi kubwa ya wanafunzi kukatiza masomo kwa ajili ya kuolewa.

 

9 years ago

GPL

DUDE, ESTER WALAZIMISHWA KUPIMA NGOMA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah NOMA! Waigizaji wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na Ester Kiama ambao wanaripotiwa kama wapenzi, hivi karibuni walilazimishwa kwenda kupima afya, ikiwa ni sharti lililotolewa na mke wa muigizaji huyo ili aweze kurejea nyumbani baada ya kuondoka kwa wazazi wake.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/gBMm2q ...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Tazara kugoma

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mawakala pembejeo wadaiwa kugoma

Mawakala wa kusambaza pembejeo za ruzuku Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, inadaiwa wamegoma kufanya kazi hiyo na kusababisha wakulima kuchelewa kuanza muda wa kupanda mbegu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani