Polisi waagizwa kuacha rushwa
POLISI wametakiwa kubadili tabia kwa kujiepusha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa kutoka kwa watu wenye matatizo, yanayohitaji huduma za kipolisi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo Ufuatiliaji na Tathimini cha Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP) Mpinga Gyumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Aug
Waagizwa kuacha visingizio vya kutotekeleza miradi
HALMASHAURI ZA wilaya na Manispaa mkoani Lindi ziache visingizio vya kutotekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati kutokana mfumo wa fedha kwa kutumia malipo kwa mitandao maarufu (EPICOR).
11 years ago
Habarileo31 Jan
Polisi waagizwa kudhibiti kundi la ‘kamchape’
SERIKALI Wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora imeliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watu wanaounda kikundi cha waganga wa jadi maarufu kama ‘kamchape’ kutokana na kikundi hicho kuhatarisha amani ya wakazi wa wilaya hiyo.
9 years ago
StarTV15 Dec
Polisi  Kilimanjaro waagizwa kumkamata Meneja wa TCCCO.LTD upotevu wa kahawa
Serikali imeliagiza Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro Kumkamata mara moja na kumfikisha Mahakamaini Meneja wa Kiwanda cha Kukoboa kahawa cha Tanganyika Coffee Curing Company LTD cha mjini Moshi Andrew Kleruu kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa magunia 36 yenye uzito wa kilogramu 1764 za kahawa kutoka kwa wanaushirika wa chama cha G32 kilichopo mkoani humo.
Agizo la mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla likielekezwa kukamatwa kwa Meneja wa Kiwanda cha kukoboa Kahawa cha Tanganyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9fNYiASwUU/XlkVK7neQwI/AAAAAAALf14/gZXGvWJQud8bcv9stwox9defM_mxQ_b9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA POLISI KUACHA KUZALISHA MAHABUSU MAGEREZANI
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Magereza na baadaye kuzungumza na Maafisa na Askari wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma, leo, Simbachawene alisema Jeshi hilo linakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya mahabusu ukilinganisha na wafungwa waliopo...
11 years ago
Michuzi13 Jun
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AWATAKA MADEREVA NA WAMILIKI WA DALALDALA KUACHA MGOMO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uh63MD1i0gk/UyW1ckq81EI/AAAAAAAFT9s/hBzIdl9Qbgg/s72-c/unnamed+(29).jpg)
POLISI NA MIKAKATI YA KUPAMBANA NA RUSHWA
11 years ago
Habarileo23 Jan
Chikawe kuanza na kero ya rushwa polisi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mathias Chikawe amesema atashughulikia tatizo la polisi kulalamikiwa kula rushwa kwa kuwaandalia mazingira mazuri, ambayo hata akiulizwa kwa nini anakula rushwa hatakuwa na jibu.
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Polisi wafukuzwa kwa rushwa Uturuki
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Buhari amteua mkuu wa polisi kukabili rushwa