Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi  Kilimanjaro waagizwa kumkamata Meneja wa TCCCO.LTD upotevu wa kahawa

 

Serikali imeliagiza Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro Kumkamata mara moja na kumfikisha Mahakamaini Meneja wa Kiwanda cha Kukoboa kahawa cha Tanganyika Coffee Curing Company LTD cha mjini Moshi Andrew Kleruu kwa tuhuma za kuhusika na upotevu  wa magunia 36 yenye uzito wa kilogramu 1764 za kahawa kutoka kwa  wanaushirika  wa chama cha G32 kilichopo mkoani humo.

Agizo la mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla likielekezwa kukamatwa kwa Meneja wa Kiwanda cha kukoboa Kahawa cha Tanganyika...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Anguko la kahawa laleta umaskini kilimanjaro — 4

HALI ya maisha kwa wananchi wa kipato ha chini mkoani Kilimanjaro si ya kuridhisha kutokana na kuanguka kwa uzalishaji wa kahawa. Wananchi wengi hasa waishio vijijini wanakabiliwa na umaskini wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Anguko la kahawa laleta umaskini Kilimanjaro

KUSHUKA kwa uzalishaji wa kahawa katika Mkoa wa Kilimanjaro kumewaweka wananchi hususan wakulima katika wimbi la umaskini wa kipato. Baadhi ya wananchi wanashindia mlo mmoja na wengine kutokana na kushindwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Anguko la kahawa laleta umaskini Kilimanjaro — 2

SEHEMU  ya kwanza ya makala hii nilizungumzia sababu za kushuka kwa uzalishaji wa kahawa mkoani Kilimanjaro. Nilielezea baadhi ya athari zilizojitokeza kutokana na kuanguka kwa uzalishaji wa zao hilo zikiwamo...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8

ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO

Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akisalimia wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA uliofanyika katika viwanja vya mashujaa mjini Moshi.Picha zote na Dixon Busagaga wa Busagaga's Orijino Blog.Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akimkaribisha mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waagizwa kuacha rushwa

POLISI wametakiwa kubadili tabia kwa kujiepusha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa kutoka kwa watu wenye matatizo, yanayohitaji huduma za kipolisi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo Ufuatiliaji na Tathimini cha Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP) Mpinga Gyumi.

 

10 years ago

Michuzi

Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand yazidi kuing'arisha Tanzania nchini Japan

pichani ni Mhe, Balozi Salome Sijaona (wa pili kushoto) akiwa na ujumbe wa Kampuni ya M.M.C wauzaji wa Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand kutoka Tanzania nchini Japan, na watumishi wengine wa Ubalozi, M.MC walifika  Ofisi za Ubalozi kuelezea mafanikio ya mauzo ya kahawa hii maalum ya Tanzania kwenye treini.
Ujumbe wa M.M.C ulieleza kuwa siku ya kwanza ya kampeni hii maalum kwa Tanzania na Tokaido Shinkasen jumla ya vikombe vya kawahawa 9999 viliuzwa, na kumbe mauzo yanaongezeka siku baada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waagizwa kudhibiti kundi la ‘kamchape’

SERIKALI Wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora imeliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watu wanaounda kikundi cha waganga wa jadi maarufu kama ‘kamchape’ kutokana na kikundi hicho kuhatarisha amani ya wakazi wa wilaya hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz akimvisha medali asakari Dominick Mafuru mmoja wa washindi wa mashindano ya mchezo wa Karate yaliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi. Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mchezo wa Karate ambao ni askari polisi,Kabelwa Ferdinando(katikati) na Wembo Ailala. Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani