Buhari amteua mkuu wa polisi kukabili rushwa
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amemteua kamishna wa polisi kuwa mkuu wa taasisi ya kupambana na rushwa nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
30 Dec
Raisi Kikwete amteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 |
PRESIDENT’S OFFICE, |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa ...
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Rais wa Kenya amteua mkuu mpya wa Polisi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RAIS KIKWETE AMTEUA ERNEST MANGU KUWA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Muhammadu Buhari kupambana na rushwa
10 years ago
Habarileo18 Jan
Watoa haki washauriwa kukabili rushwa ya ngono
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amewataka majaji, mahakimu na wasaidizi wa sheria, kufuata maadili ya kazi hiyo, pamoja na kuongoza mapambano dhidi ya rushwa hasa ya ngono ambayo inaonekana kukithiri.
10 years ago
Habarileo04 Nov
JK ataka mafunzo yenye ufanisi kukabili rushwa
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), kuanzisha mafunzo yatakayotolewa kwa watu maalumu kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa namna ya kupambana na rushwa nchini kwa ufanisi.
10 years ago
Habarileo04 Apr
Katibu Mkuu UN amteua Kikwete
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon, amemteua Rais Jakaya Kikwete kuwa Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Afya.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s72-c/Abba-Kyari.jpg)
MKUU OFISI YA RAIS BUHARI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s400/Abba-Kyari.jpg)
Kupitia taarifa, ofisi ya Buhari imesema imesikitishwa na kifo cha Abba Kyari ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa katika utawala wa Rais huyo.Taarifa hiyo imesema kuwa marehemu alifariki jana Ijumaa kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Kyari aliyekuwa katika miaka ya sabini, ni mtu wa kwanza mwenye cheo cha juu nchini Nigeria kufariki kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Nchi hiyo yenye idadi kubwa...