MKUU OFISI YA RAIS BUHARI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s72-c/Abba-Kyari.jpg)
Kiongozi wa ofisi ya rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amefariki baada ya kupatikana na virusi vya Corona.
Kupitia taarifa, ofisi ya Buhari imesema imesikitishwa na kifo cha Abba Kyari ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa katika utawala wa Rais huyo.Taarifa hiyo imesema kuwa marehemu alifariki jana Ijumaa kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Kyari aliyekuwa katika miaka ya sabini, ni mtu wa kwanza mwenye cheo cha juu nchini Nigeria kufariki kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Nchi hiyo yenye idadi kubwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Feb
Mkuu wa Chuo UDSM afariki dunia
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura, amefariki dunia juzi nchini India alikokuwa akitibiwa maradhi ya saratani.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qV3_tACI4TI/Xql6YoucfUI/AAAAAAAAnak/wmBWAtZXiJE_jhton2-rSSVoY7aH_2XoACLcBGAsYHQ/s72-c/488fe83e-a99d-4052-b34e-9c3003137dfa.jpg)
MKUU WA UHAMIAJI KAGERA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qV3_tACI4TI/Xql6YoucfUI/AAAAAAAAnak/wmBWAtZXiJE_jhton2-rSSVoY7aH_2XoACLcBGAsYHQ/s400/488fe83e-a99d-4052-b34e-9c3003137dfa.jpg)
Kwa mujibu wa kaimu mkuu wa uhamiaji Kagera Thomas Fush marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Fush amesema kuwa kufuatia msiba huo mwongozo wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa na makao makuu ya uhamiaji umesubiriwa ili kujua taratibu za msiba na maziko
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mkuu wa Mkoa wa Mara afariki dunia
MKUU wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, amefariki dunia jana akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime. Taarifa za kifo chake zilitolewa kwa waandishi wa habari na Mkuu wa Wilaya...
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZ8N9Ge5IhRMJOejq4JL6jzzdDyFVNvbgcPk8t0hP7cyxktwF1Xg7GQ5v2cKUKv0pKjE7zPBBju5YrzY3CVw7ZP/AlbertReynolds.jpg)
WAZIRI MKUU WA ZAMANI IRELAND AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s640/unnamed.jpg)
Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Mshauri wa Rais Zanzibar afariki dunia
ALIYEKUWA Mshauri wa Rais wa Masuala ya Utalii katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Issa Ahmed Othman ambaye alifariki dunia Januari 25 akiwa katika matibabu nchini India, amezikwa juzi katika kijiji cha Kianga nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.