Mshauri wa Rais Zanzibar afariki dunia
ALIYEKUWA Mshauri wa Rais wa Masuala ya Utalii katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Issa Ahmed Othman ambaye alifariki dunia Januari 25 akiwa katika matibabu nchini India, amezikwa juzi katika kijiji cha Kianga nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s72-c/0001.jpg)
tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s1600/0001.jpg)
Aliyekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Mjane wa Rais wa Awamu ya TATU wa ZANZIBAR MAREHEMU Idrisa Abdulwakil Afariki Dunia, azikwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YC9GFKqnbTQ/U-4la98EYfI/AAAAAAAF_5A/Ksk7yLBQrAM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5KobweDRb14/VMfkR30ximI/AAAAAAACWYA/ojsGQoIIVYg/s72-c/IMG_3354.jpg)
MAZIKO YA MSHAURI WA RAIS UTALII ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5KobweDRb14/VMfkR30ximI/AAAAAAACWYA/ojsGQoIIVYg/s640/IMG_3354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mb1N7m4eZ-0/VMfkUEbBpUI/AAAAAAACWYQ/OPD0vy9YNxM/s640/IMG_3369.jpg)
10 years ago
Michuzi27 Jan
MAZIKO YA MSHAURI WA RAIS UTALII YAFANYIKA ZANZIBAR
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed176.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mshauri wa Dk Shein afariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNIA
10 years ago
StarTV10 May
Rais wa zamani wa Uturuki afariki dunia
Aliyekuwa rais wa Uturuki Kenan Evren ambaye aliongoza mapindunzi yaliyokumbwa na umwagikaji wa damu mwaka 1980 ameaga dunia kwenye hospitali moja mjini Ankara akiwa na umri wa miaka 97.
Mwaka uliopita alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kufuatia kuhusika kwake kwenye mapinduzi ya kijeshi.
Chini ya utawala wake watu kadha walinyongwa , maelfu wakakamatwa na vyama vya kisiasa vikapigwa marufuku.
Vyombo vya habari vilivyotangaza kinyume na mapinduzi hayo vilifungwa .
Generali Evren...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s72-c/Abba-Kyari.jpg)
MKUU OFISI YA RAIS BUHARI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s400/Abba-Kyari.jpg)
Kupitia taarifa, ofisi ya Buhari imesema imesikitishwa na kifo cha Abba Kyari ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa katika utawala wa Rais huyo.Taarifa hiyo imesema kuwa marehemu alifariki jana Ijumaa kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Kyari aliyekuwa katika miaka ya sabini, ni mtu wa kwanza mwenye cheo cha juu nchini Nigeria kufariki kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Nchi hiyo yenye idadi kubwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MCHEZAJI WA KMKM NA ZANZIBAR HEROES ALI SULEIMAN AFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI