MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mwakilishi wa jimbo la Magomeni, Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Salmin Awadh enzi za uhai wake. Akiongea na wananchi jimbo la Magomeni, Zanzibar.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QT3g3yPBx98/VOXQVqq55HI/AAAAAAAHEis/xzyJAKkvlDc/s72-c/IMG-20150219-WA0001.jpg)
BREAKING NYUZZZ...: MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNI GHAFLA MCHANA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT3g3yPBx98/VOXQVqq55HI/AAAAAAAHEis/xzyJAKkvlDc/s1600/IMG-20150219-WA0001.jpg)
Pichani ni Mwili wa Mwakilishi huyo ukipakiwa kwenye gari ukitolewa kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja kwenda nyumbani kwake kwa matayarisho ya mazishi.
taarifa kamili tutapeana hapo baadae.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-1PDb6PrnmVM/VOXryGtasWI/AAAAAAABlro/FDAQuS3C2ks/s72-c/IMG20150219WA0001.jpg)
Maendeleo ya Msiba wa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Aliefariki Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-1PDb6PrnmVM/VOXryGtasWI/AAAAAAABlro/FDAQuS3C2ks/s640/IMG20150219WA0001.jpg)
10 years ago
VijimamboLOWASSA ASHIRIKI MAZIKO YA MWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
JK amtumia salamu za rambirambi Dkt. Shein kufuatia kifo cha Mwakilishi wa jimbo la Magomeni, Zanzibar
Marehemu Mh. Salmin Awadh enzi za uhai wake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amempelekea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mheshimiwa Salmin Awadh Salmin, Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni katika Baraza la Wawakilishi na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Baraza hilo.
Mheshimiwa Salmin ambaye alikuwa pia Katibu wa Kamati ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s72-c/7.jpg)
DKT.SHEIN, DKT. BILAL WAONGOZA MAZISHI YA MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI SALMIN AWADHI SALMIN, MAKUNDUCHI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BzboS7J5xCM/VOhcquAzw6I/AAAAAAAHE8U/pgwuZwZrbOI/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gjz5fQe6n9A/VOhcq0XROwI/AAAAAAAHE8Y/TPHj3UQLUbU/s1600/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s72-c/unnamed.jpg)
AFISA UHAMIAJI ZANZIBAR, MAHAFOUDH ABDALLAH ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFSAI YA UWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9XiKztQpFco/VagwO3vSURI/AAAAAAADyFI/aHclJnL3ofc/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JqLuslmgYzA/Vagwo-ljNGI/AAAAAAADyFo/4ELh_EKmMjc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HTUlItJxCys/Vagwto43zrI/AAAAAAADyFw/fTsXS-Lsorg/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVf3cuJ57e4/VagwxMtrBMI/AAAAAAADyF4/vpAI3cpoapY/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Mwakilishi afariki ghafla Zanzibar
5 years ago
MichuziMWAKILISHI WA JIMBO LA UZINI ATOA MSAADA VITU MBALIMBALI KWA AJILI YA KUPAMBANA NA KORONA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10