JK amtumia salamu za rambirambi Dkt. Shein kufuatia kifo cha Mwakilishi wa jimbo la Magomeni, Zanzibar
Marehemu Mh. Salmin Awadh enzi za uhai wake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amempelekea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mheshimiwa Salmin Awadh Salmin, Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni katika Baraza la Wawakilishi na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Baraza hilo.
Mheshimiwa Salmin ambaye alikuwa pia Katibu wa Kamati ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s72-c/DK%2BSHEIN.jpg)
DKT SHEIN AMTUMIA SALAMU ZA RAMBI RAMBI RAIS MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s640/DK%2BSHEIN.jpg)
Balozi Mahiga alifariki nyumbani wake Mjini Dodoma baada ya kuugua hafla ambapo alipofikishwa hospitali tayari alikwishapoteza uhai na kuzikwa jana Mkoani Iringa.
Katika salamu hizo Dk. Shein alisema amepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kifo cha...
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Rais Kikwete amtumia salamu za pole Dkt. Shein kufuatia mlipuko wa bomu Zanzibar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine sita kujeruhiwa akiwemo mhubiri wa amani ajulikanaye kama Sheikh Ahmed Haidari Jabir wa Zanzibar, kutokana na kurushwa kwa Bomu katika shughuli ya kidini iliyokuwa ikifanyika katika eneo la Darajani tarehe 13 Juni,2014, mjini Unguja.
‘Hicho ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote na watu wote...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s72-c/7.jpg)
DKT.SHEIN, DKT. BILAL WAONGOZA MAZISHI YA MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI SALMIN AWADHI SALMIN, MAKUNDUCHI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BzboS7J5xCM/VOhcquAzw6I/AAAAAAAHE8U/pgwuZwZrbOI/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gjz5fQe6n9A/VOhcq0XROwI/AAAAAAAHE8Y/TPHj3UQLUbU/s1600/9.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s72-c/New%2BPicture.png)
JK ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ZA MZEE RUANGISA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s1600/New%2BPicture.png)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa ya kifo cha...
10 years ago
GPLSALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIGWELE CHE MUNDUGWAO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PXnpR4w2Q6c/VGEjliwIUDI/AAAAAAAGweM/7pNOMDNsY5U/s72-c/download.jpg)
JK ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PXnpR4w2Q6c/VGEjliwIUDI/AAAAAAAGweM/7pNOMDNsY5U/s1600/download.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Salamu za rambirambi kutoka TGNP kufuatia kifo cha Edson Kamukara
Marehemu Edson Kamukara enzi za uhai wake.
Salamu Za Rambirambi Kutoka TGNP- Kifo Cha Kamukara
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10