BREAKING NYUZZZ...: MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNI GHAFLA MCHANA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT3g3yPBx98/VOXQVqq55HI/AAAAAAAHEis/xzyJAKkvlDc/s72-c/IMG-20150219-WA0001.jpg)
Habari iliyotufikia hivi punde toka Visiwani Zanzibar,inaeleza kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni,Mhe. Salmin Awadh amefariki dunia mchana huu baada kuanguka hafla akiwa kikaoni katika Afisi kuu ya CCM kisiwandui,mjini Unguja Zanzibar.
Pichani ni Mwili wa Mwakilishi huyo ukipakiwa kwenye gari ukitolewa kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja kwenda nyumbani kwake kwa matayarisho ya mazishi.
taarifa kamili tutapeana hapo baadae.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Mwakilishi afariki ghafla Zanzibar
10 years ago
VijimamboLOWASSA ASHIRIKI MAZIKO YA MWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
JK amtumia salamu za rambirambi Dkt. Shein kufuatia kifo cha Mwakilishi wa jimbo la Magomeni, Zanzibar
Marehemu Mh. Salmin Awadh enzi za uhai wake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amempelekea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mheshimiwa Salmin Awadh Salmin, Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni katika Baraza la Wawakilishi na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Baraza hilo.
Mheshimiwa Salmin ambaye alikuwa pia Katibu wa Kamati ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi...
11 years ago
Michuzi06 Jun
BREAKING NYUZZZZ....: MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA,GEBBO PETER AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
GLOGU YA JAMII INAFATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA HUO NA TUTAENDELEA KUTAARIFIANA KADRI TUTAKAVYOKUWA TUKIZIPATA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s72-c/7.jpg)
DKT.SHEIN, DKT. BILAL WAONGOZA MAZISHI YA MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI SALMIN AWADHI SALMIN, MAKUNDUCHI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BzboS7J5xCM/VOhcquAzw6I/AAAAAAAHE8U/pgwuZwZrbOI/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gjz5fQe6n9A/VOhcq0XROwI/AAAAAAAHE8Y/TPHj3UQLUbU/s1600/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-1PDb6PrnmVM/VOXryGtasWI/AAAAAAABlro/FDAQuS3C2ks/s72-c/IMG20150219WA0001.jpg)
Maendeleo ya Msiba wa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Aliefariki Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-1PDb6PrnmVM/VOXryGtasWI/AAAAAAABlro/FDAQuS3C2ks/s640/IMG20150219WA0001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s72-c/unnamed.jpg)
AFISA UHAMIAJI ZANZIBAR, MAHAFOUDH ABDALLAH ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFSAI YA UWAKILISHI JIMBO LA MAGOMENI ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5tNkOF93B2s/VagwXnY_LmI/AAAAAAADyFY/8M_I5R-Gr9A/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9XiKztQpFco/VagwO3vSURI/AAAAAAADyFI/aHclJnL3ofc/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JqLuslmgYzA/Vagwo-ljNGI/AAAAAAADyFo/4ELh_EKmMjc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HTUlItJxCys/Vagwto43zrI/AAAAAAADyFw/fTsXS-Lsorg/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVf3cuJ57e4/VagwxMtrBMI/AAAAAAADyF4/vpAI3cpoapY/s640/unnamed.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10