MAZIKO YA MSHAURI WA RAIS UTALII ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5KobweDRb14/VMfkR30ximI/AAAAAAACWYA/ojsGQoIIVYg/s72-c/IMG_3354.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Amani Abeid Karume (kulia) na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Balozi Seif Ali Iddi pamoja na Viongozi wengine na waislamu mbali mbali wakijumuika kwa pamoja kumswalia aliyekuwa Mshauri wa Rais wa Utalii Marehemu Issa Ahmed Othman katika Masjid Mahfoudh Mazizini, Marehemu alifariki juzi Nchini India na kuzikwa leo Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Jan
MAZIKO YA MSHAURI WA RAIS UTALII YAFANYIKA ZANZIBAR
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed176.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s72-c/0001.jpg)
tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s1600/0001.jpg)
Aliyekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s72-c/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA MAREHEMU ALI SALIM HAFIDH NA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU ZANZIBAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s640/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f4aaa3cf-e447-42d0-abfa-d6e575f60f00.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Jan
Mshauri wa Rais Zanzibar afariki dunia
ALIYEKUWA Mshauri wa Rais wa Masuala ya Utalii katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Issa Ahmed Othman ambaye alifariki dunia Januari 25 akiwa katika matibabu nchini India, amezikwa juzi katika kijiji cha Kianga nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s72-c/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA JAJI WA MAHKAMA KUU ZANZIBAR MKUSA SEPETU ALIYEZIKWA KIJIJI KWAO MBUZINI UNGUJA LEO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s640/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/81c75572-8fa4-417a-9b62-6125c582372f.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s72-c/IMG_6238.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZIKO YA WANA CCM WALIOPATA AJALI JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s640/IMG_6238.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s640/IMG_6211.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aWle64YZjug/XoDrUmruRxI/AAAAAAALlfk/dMCLIccsrzYsGK-U_tOy9W-KN_8DQvt1ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC0895AA-768x529.jpg)
RAIS DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA WAZIRI KIONGOZI MSTAAF RAMADHAN HAJIN FAKI KIJIJI KWAO MKWAJUNI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-aWle64YZjug/XoDrUmruRxI/AAAAAAALlfk/dMCLIccsrzYsGK-U_tOy9W-KN_8DQvt1ACLcBGAsYHQ/s640/DSC0895AA-768x529.jpg)
MAKAMANDA wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa Marehemu Ramadhani Haji Faki wakiingia katika viwanja vya Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuusala na kuuombea dua
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC0913AA-1024x795.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0bVnHnJv6Uo/Xk4RUYEV5JI/AAAAAAALeaI/dwk6JEOZ5p8hFY_NGh5ARrXSor26XHHUACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC5133AA-1024x639.jpg)
RAIS DK SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI UTALII NA MAMBO YA KALE ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0bVnHnJv6Uo/Xk4RUYEV5JI/AAAAAAALeaI/dwk6JEOZ5p8hFY_NGh5ARrXSor26XHHUACLcBGAsYHQ/s640/DSC5133AA-1024x639.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC5134AA-1024x602.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC5126AA-1024x567.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk. Ali Mohamed. Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, wakati wa kuwasilisha Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu leo 19-2-2020, Jijini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC5167AA-1024x623.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC5169AA-1024x673.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Sep
Mshauri wa Maalim Seif awekewa pingamizi Zanzibar
MANSOUR Yussuf Himid ambaye ni mshauri wa siasa wa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amewekewa pingamizi na mgombea wa CCM kwa madai ya kuwasilisha taarifa za uongo katika makosa yanayomkabili ya kukamatwa na silaha.