MKUU WA UHAMIAJI KAGERA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qV3_tACI4TI/Xql6YoucfUI/AAAAAAAAnak/wmBWAtZXiJE_jhton2-rSSVoY7aH_2XoACLcBGAsYHQ/s72-c/488fe83e-a99d-4052-b34e-9c3003137dfa.jpg)
Aliyekuwa Mkuu wa uhamiaji Mkoa Wa Kagera Pendo Buteghe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Rufaa Mkoa wa Kagera alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa kaimu mkuu wa uhamiaji Kagera Thomas Fush marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Fush amesema kuwa kufuatia msiba huo mwongozo wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa na makao makuu ya uhamiaji umesubiriwa ili kujua taratibu za msiba na maziko
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Monsinyori Bamanyisa afariki dunia Kagera
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mkuu wa Mkoa wa Mara afariki dunia
MKUU wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, amefariki dunia jana akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime. Taarifa za kifo chake zilitolewa kwa waandishi wa habari na Mkuu wa Wilaya...
11 years ago
Habarileo24 Feb
Mkuu wa Chuo UDSM afariki dunia
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura, amefariki dunia juzi nchini India alikokuwa akitibiwa maradhi ya saratani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZ8N9Ge5IhRMJOejq4JL6jzzdDyFVNvbgcPk8t0hP7cyxktwF1Xg7GQ5v2cKUKv0pKjE7zPBBju5YrzY3CVw7ZP/AlbertReynolds.jpg)
WAZIRI MKUU WA ZAMANI IRELAND AFARIKI DUNIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s72-c/Abba-Kyari.jpg)
MKUU OFISI YA RAIS BUHARI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HVmOsqjDVm8/XprqrkGOVWI/AAAAAAAAyNs/DVftyJ10AeIU8qIDgxdyU1j9rTJXJxLnACLcBGAsYHQ/s400/Abba-Kyari.jpg)
Kupitia taarifa, ofisi ya Buhari imesema imesikitishwa na kifo cha Abba Kyari ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa katika utawala wa Rais huyo.Taarifa hiyo imesema kuwa marehemu alifariki jana Ijumaa kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Kyari aliyekuwa katika miaka ya sabini, ni mtu wa kwanza mwenye cheo cha juu nchini Nigeria kufariki kutokana na ugonjwa wa COVID-19.
Nchi hiyo yenye idadi kubwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s640/unnamed.jpg)
Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...