Chikawe kuanza na kero ya rushwa polisi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mathias Chikawe amesema atashughulikia tatizo la polisi kulalamikiwa kula rushwa kwa kuwaandalia mazingira mazuri, ambayo hata akiulizwa kwa nini anakula rushwa hatakuwa na jibu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Kero la rushwa mahakamani TZ
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Kulipa faini kwa mtandao kutapunguza rushwa, kero
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkD3ufp__sY/XlrFW50-HCI/AAAAAAALgKo/BwhA8X15h44s7it2b5_KwRle9G_KfJnlwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200228_154116.jpg)
Nyasa kuanza ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Kingerikiti kutatua kero ya wananchi
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Bw. Jimson Mhagama, wakati akiongea na wananchi wa Kata ya Kingerikiti kwa lengo la kutambulisha mradi na kuwashirikisha Wananchi ili waweze kushirikiana na Serikali kwa...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Waliopata umeme wa Rea kwa rushwa kuanza kuchunguzwa
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
CCM kuanza kuwatimua viongozi wavivu, wasio na kazi na wala rushwa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo alisema kua CCM itaanza kuwafukuza viongozi wabovu na wala rushwa. Kinana yupo mkoani Pwani kuimarisha uhai wa chama, kuhimiza, na kusukuma utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia kaaikia wananchi kuhusu tika mkutano wa hadhara Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo aliwananga wapinzania kwamba wanahangaika na maandamano...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Chikawe: Sitavumilia polisi wababaishaji wasiojua lengo lao
10 years ago
Habarileo16 May
Chikawe ataka polisi kuungwa na mkongo bila malipo
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuviunganisha vituo vyote vya polisi na mkongo wa taifa bila malipo ili kurahisisha mawasiliano kwa Jeshi la Polisi.