TANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA
Wadau mbalimbali wa madini ya vito waliopata bahati kutembelea Banda la Tanzania katika siku ya kwanza ya Maonesho ya 54 ya Kimataifa ya Vito na Usonara ya Bangkok, wakishangazwa na mng’ao wa Kito cha Tanzanite katika Pete iliyovalishwa kidoleni mwa Mwanafunzi, Raia wa Thailand aliyeomba kujaribisha Pete hiyo. Anayetoa maelezo ni Mfanyabiashara wa Madini ya Vito kutoka Tanzania, Bw. Gregory Kibusi (Mwenye mavazi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa
9 years ago
MichuziTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KATIKA MAONESHO YA VITO BANKOK
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
10 years ago
Habarileo25 Jun
CAG aahidi kuing’arisha Tanzania kimataifa
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) amesema Tanzania itaendelea kuwa kinara katika shughuli za ukaguzi wa Umoja wa Mataifa ili kuweza kuiletea nchi sifa katika eneo la ukaguzi wa hesabu za umoja huo.
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
DAVIDO: Mnigeria anayemng’arisha Diamond kimataifa
DAVID Adedeji Adeleke ‘Davido’, ni miongoni mwa wasanii kutoka nchini Nigeria anayetikisa dunia kutokana na kazi zake zenye ubora. Kwa hapa Tanzania, amemuwezesha msanii Nassib Abdul ‘Diamond’ kutamba katika vituo...
9 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.
![](http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2015/09/tanzanite.jpg)
The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Simbachawene atembelea Banda la Tanzanite One katika maonesho ya nne ya kimataifa ya madini ya vito, jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Z6MKxxOv0g/VTiTup9EnsI/AAAAAAAHStc/YYKMvHPFstI/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kikwete aing’arisha Tanzania
TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...