TANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KATIKA MAONESHO YA VITO BANKOK
Wanunuzi wa madini wakikagua madini ya vito kutoka kwa mfanyabiashara wa madini wa Tanzania katika banda la Tanzania kwenye maonesho kimataifa ya 56 ya Madini ya vito na usonara yanayofanyika mjini Bankok, Thailand.
Ofisa kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Nchini (TMAA), Bi. Stella akimpatia maelezo mmoja kati ya wanunuzi wa madini ya vito waliofika katika banda la Tanzania kutaka maelezo ya jinsi ya kuweza kununua madini hayo ya vito yanayopatikana Tanzania.
Picha ya pamoja kati ya ujumbe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa
10 years ago
GPLTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Simbachawene atembelea Banda la Tanzanite One katika maonesho ya nne ya kimataifa ya madini ya vito, jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Z6MKxxOv0g/VTiTup9EnsI/AAAAAAAHStc/YYKMvHPFstI/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
9 years ago
Michuzi04 Sep
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
9 years ago
MichuziTANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO YA VITO JIJINI BANGKOK, NCHINI THAILAND
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QUCwkoFmTIk/UwWsTfLRElI/AAAAAAAFOQo/i7vFk6TyQh0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Tanzania kushiriki maonesho ya 53 ya Kimataifa ya Madini ya Vito na Usonara huko Thailand baadae mwezi huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-QUCwkoFmTIk/UwWsTfLRElI/AAAAAAAFOQo/i7vFk6TyQh0/s1600/unnamed+(54).jpg)
Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuwa, miongoni mwa nchi 150 zitakazoshiriki maonesho ya 53 ya Kimataifa ya madini ya vito na usonara yatakayofanyika Bangkok Thailand, kuanzia tarehe 25 februari hadi tarehe 1 Machi, 2014. Kutokana na kuwa na hazina kubwa ya madini ya aina mbalimbali, Tanzania imealikwa kuwa miongoni mwa nchi zitakazo shiriki maonesho hayo yanayojulikana kama ‘Bangkok Gems and Jewelry Fair’.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oqEdVUP7w4s/UwWsVe_8auI/AAAAAAAFOQw/qSY8s0sNPlU/s1600/unnamed+(55).jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UHALIFU: ‘Mchina’ akamatwa na vito vya tanzanite JNIA