CAG aahidi kuing’arisha Tanzania kimataifa
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) amesema Tanzania itaendelea kuwa kinara katika shughuli za ukaguzi wa Umoja wa Mataifa ili kuweza kuiletea nchi sifa katika eneo la ukaguzi wa hesabu za umoja huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--ppotKtjnbM/VEEsO_RaF9I/AAAAAAAGrUw/wkf1cUhFh1I/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand yazidi kuing'arisha Tanzania nchini Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/--ppotKtjnbM/VEEsO_RaF9I/AAAAAAAGrUw/wkf1cUhFh1I/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Ujumbe wa M.M.C ulieleza kuwa siku ya kwanza ya kampeni hii maalum kwa Tanzania na Tokaido Shinkasen jumla ya vikombe vya kawahawa 9999 viliuzwa, na kumbe mauzo yanaongezeka siku baada ya...
10 years ago
MichuziTanzanite yaing’arisha Tanzania kimataifa
10 years ago
GPLTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
DAVIDO: Mnigeria anayemng’arisha Diamond kimataifa
DAVID Adedeji Adeleke ‘Davido’, ni miongoni mwa wasanii kutoka nchini Nigeria anayetikisa dunia kutokana na kazi zake zenye ubora. Kwa hapa Tanzania, amemuwezesha msanii Nassib Abdul ‘Diamond’ kutamba katika vituo...
10 years ago
Mtanzania02 Dec
CAG mpya aahidi makubwa
![Profesa Mussa Juma Assad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/mussa-assad1.jpg)
Profesa Mussa Juma Assad
NA KULWA KAREDIA, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, imesema uteuzi wa Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Profesa Assad alisema hatamwangusha Rais Kikwete na Watanzania kutokana na imani iliyoonyeshwa kwake.
“Sitamwangusha...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kikwete aing’arisha Tanzania
TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mapambano ya rushwa yaing’arisha Tanzania
9 years ago
MichuziTANZANITE YAING’ARISHA TANZANIA KATIKA MAONESHO YA VITO BANKOK
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...