Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAG mpya aahidi makubwa

Profesa Mussa Juma Assad

Profesa Mussa Juma Assad

NA KULWA KAREDIA, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, imesema uteuzi wa Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu.

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Profesa Assad alisema hatamwangusha Rais Kikwete na Watanzania kutokana na imani iliyoonyeshwa kwake.

“Sitamwangusha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH AAHIDI MAKUBWA UJIO WAKE MPYA!

Q-Chillah akielezea namna alivyojipanga kwa ujio wake mpya. Kushoto ni Meneja wake, QS. Mhonda.  Muandaaji wa hafla hiyo, DJ Bavon (aliyesimama) akitoa ufafanuzi.…

 

10 years ago

Habarileo

CAG aahidi kuing’arisha Tanzania kimataifa

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa AssadMDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) amesema Tanzania itaendelea kuwa kinara katika shughuli za ukaguzi wa Umoja wa Mataifa ili kuweza kuiletea nchi sifa katika eneo la ukaguzi wa hesabu za umoja huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgambia aahidi makubwa Simba

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Omary Mboom amesema kuwa hatofanya makosa iwapo atasajiliwa na badala yake atahakikisha anawapa raha wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kongwe nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiiza aahidi makubwa Yanga

>Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza amejiapiza kuwa atahakikisha mwaka 2014 anavaa medali nyingi kadri inavyowezekana akiwa na kikosi cha timu hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi makubwa wa bodaboda

MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanzisha madawati maalumu katika Manispaa za Dar es Salaam kwa ajili ya kusajili madereva wa bodaboda na bajaji, iwapo chama chake kitachaguliwa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aahidi makubwa Moshi

MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, jana aliuteka mji wa Moshi mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kuvuta umati mkubwa wa watu aliowakuna kwa hotuba yake iliyosheheni ahadi nzito, zikiwamo za kuondoa kero zinazowakabili na pia kuahidi kupaisha uchumi wa mkoa kwa ujumla.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga

IMG_3892

 

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,

KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.

Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alfred Elia aahidi makubwa Simba

MGOMBEA ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Alfred Elia, amewaomba wanachama wa klabu hiyo kumchagua ili aweze kuleta maendeleo hasa kupitia jina na nembo ya klabu hiyo. Elia ni...

 

11 years ago

GPL

Mbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga

Kocha wa zamani wa AFC Leopards, Luc Eymael. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa AFC Leopards, Luc Eymael, amesema kuwa mazungumzo yake na Yanga bado yanaendelea na anaamini kuwa akipata timu hiyo ataifanyia makubwa.
Eymael aliomba kuifudisha Yanga ambayo hivi karibuni ilimtimua aliyekuwa kocha wake mkuu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani