Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Martial aing’arisha Man United

Mabao mawili ya kinda Anthony Martial na jingine la Juan Mata jana yaliiwezesha Manchester United kushinda mabao 3-2 dhidi ya Southampton kwenye mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee aing’arisha BAWACHA

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aing’arisha Tanzania

TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial arudisha heshima hii Man United

Klabu ya Manchester United ya Uingereza ilikaa miaka miwili bila kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi kwa sasa imechukuliwa na Anthony Martial mshambuliaji ambaye ana umri mdogo aliyeweka rekodi ya kuuzwa kwa gharama ya juu katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August. Anthony Martial anakuwa mshambuliaji wa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Kibadeni aing’arisha Mahakama Shimiwi

Scan10178

Wachezaji wanawake wa mchezo wa kamba wa timu ya Mahakama walishindana na wapinzani wao wa Mipango kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro katika mashindano ya Shimiwi inayoendelea mpaka sasa. Mahakama ilishinda kwa 2-0. (Picha/Mpigapicha wetu).

Na Mwandishi wetu, Morogoro

Timu ya  Mahakama ya Tanzania imeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Shirikisho ya  Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) inayoendelea mkoani Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.

Timu ya Mahakama ambayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri aing’arisha Simba Zanzibar

Simba inarudi leo jijini Dar es Salaam ikiwa imevuna mabao tisa katika mechi tatu za kirafiki walizocheza visiwani hapa, huku ikiruhusu bao moja langoni mwao, jambo lililofanya ionekane katika ubora wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Raphael Kiongera aliifungia timu yake mabao mawili muhimu akitokea benchi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Gor Mahia na kuiwezesha kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

5 years ago

Manchester Evening News

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United  Manchester Evening NewsPredicting Man Utd's Starting XI for Thursday's Clash With Club Brugge  90minOle Gunnar Solskjaer announces huge Marcus Rashford injury blow for Man United in top four race  Football.LondonFred backs Solskjaer but admits Man Utd are 'not doing as well' as they should be  Goal.comChelsea Learn Extent of N'Golo Kante Injury Sustained During Man Utd Defeat  90minView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bleacher Report

Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury

Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury  Bleacher ReportManchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Club Brugge  The Peoples PersonMan Utd team news: Duo ruled out vs Club Brugge, but positive news for Solskjaer  CaughtOffside‘Nothing is impossible at Man Utd’ – Bailly sets his sights on a second Europa League crown  Goal.comPaul Scholes insists he likes everything about Bruno Fernandes  The Peoples PersonView Full coverage on...

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial: Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Manchester United kutoka Monaco

Klabu ya Manchester United ilifanikiwa kufanya usajili wa dakika za mwisho kabla ya dirisha la usajili kufungwa na kumnyakua mshambuliaji mpya. Mshambuliaji huyo ni Anthony Martial, mwenye miaka 21 na raia wa Ufaransa aliyekiwa katika klabu ya AS Monaco ya Ligue 1. Amesajiliwa kwa kiasi cha £36m. United walikuwa wakitafuta mshambuliaji wa kumsaidia Wayne Rooney […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani