Martial aing’arisha Man United
Mabao mawili ya kinda Anthony Martial na jingine la Juan Mata jana yaliiwezesha Manchester United kushinda mabao 3-2 dhidi ya Southampton kwenye mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mdee aing’arisha BAWACHA
MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kikwete aing’arisha Tanzania
TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.
9 years ago
Bongo517 Oct
Anthony Martial arudisha heshima hii Man United
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Kibadeni aing’arisha Mahakama Shimiwi
Wachezaji wanawake wa mchezo wa kamba wa timu ya Mahakama walishindana na wapinzani wao wa Mipango kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro katika mashindano ya Shimiwi inayoendelea mpaka sasa. Mahakama ilishinda kwa 2-0. (Picha/Mpigapicha wetu).
Na Mwandishi wetu, Morogoro
Timu ya Mahakama ya Tanzania imeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Shirikisho ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) inayoendelea mkoani Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.
Timu ya Mahakama ambayo...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Phiri aing’arisha Simba Zanzibar
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa
5 years ago
Manchester Evening News20 Feb
Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United
5 years ago
Bleacher Report28 Feb
Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury
9 years ago
Bongo502 Sep
Anthony Martial: Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Manchester United kutoka Monaco