Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, zimeendelea baada ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chadema, John Mnyika na kada wa chama hicho, Habib Mchange kuvutana hadharani.

Hiyo ni siku chache baada ya Mchange kutoa tuhuma dhidi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo Dk. Willibrod Slaa, Freeman Mbowe (mwenyekiti wa chama), Tundu Lissu (mwanasheria) na Mnyika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mchange akana tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa

Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange

Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange

GRACE SHITUNDU NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO)

ALIYEKUWA kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange, ameibuka na kuponda hoja za kumuhusisha kupanga njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa.

Alisema tuhuma hizo ni upuuzi na ni dalili ya kifo kwa chama hicho.

Hatua hiyo ya Mchange imekuja siku chache baada ya madiwani wawili wa Chadema Mkoa wa Shinyanga waliokuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA walijia juu sakata mauaji ya watoto

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,Waziri wa Jinsia Wanawake na Wanawake, Sophia Simba na Mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI

Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani/Uwazi LILE sakata la mauaji ya mteja wa gari aliyekutwa amefukiwa katika nyumba moja Ilala Sharifu Shamba jijini Dar, Farahan Habusali Maluli (31) limeingia katika sura mpya baada ya mkewe, Tatu Ally (29) kuelezea mambo mapya juu ya tukio hilo la kusikitisha. ...Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi. Akizungumza na Uwazi juzi nyumbani kwake, Maramba Mawili, Kinondoni, Dar, Tatu alisema mumewe...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Liberatus Sabas aeleze vema sakata la Mauaji haya

TUKIELEKEA kuandika kwa ujumla kuhusu Jeshi la Polisi nchini, wapo wanaofikiri kuwa ujumbe unawahusu wengine, au wengine hufikiri kuwa msiba wa wengi ni furaha. Ni kutokana na hali hiyo wengi...

 

9 years ago

Mwananchi

DCI atuma timu ya wapelelezi sakata la mauaji Kilimanjaro

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Diwani Athuman ametuma wapelelezi mkoani Kilimanjaro, kuchunguza mauaji ya kinyama ya James Massawe aliyeuawa mwaka 2009.

 

10 years ago

Vijimambo

Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo


Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge wa DRC wavutana

Kumetokea mvutano katika Bunge la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya wabunge wa upinzani kupinga sheria mpya.

 

11 years ago

Habarileo

Wachina wavutana bandari ya Dar

UJENZI wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam umechelewa kutokana na sababu tatu, ikiwamo ya mzozo wa kampuni mbili za Kichina zilizowahi kusababisha mvutano kwa waliokuwa mawaziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Dk Athumani Mfutakamba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngarambe wavutana na mwekezaji Rufiji

>Baadhi ya wakazi wa Kata ya Ngarambe inayo ayopakana na pori la akiba la Selous wilayani Rufiji, wamedai kuwa kitendo cha mwekezaji katika kitalu chao kushindwa kuwinda miaka miwili mfululizo, kinatoa mwanya kwa baadhi ya wanakijiji kuua wanyama kiholela kutokana na kukosekana kwa doria za mara kwa mara katika eneo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani