Serikali imeshindwa kukomesha mapigano haya?
KWA mara nyingine yamezuka mapigano baina ya wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai katika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Vurugu hizo zinadaiwa kuzuka jana asubuhi baada ya wakulima kuamua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s72-c/_MG_1558.jpg)
MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s640/_MG_1558.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i-Bki45F4wo/VgwhR0mPkmI/AAAAAAAC_-Y/lLaB-t1-IZU/s640/_MG_1523.jpg)
Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano yake alioufanya katika mji...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
MAGUFULI AAHIDI: Ni suala la kukomesha mapigano ya wakulima na wafugaji nchini!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s640/_MG_1558.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i-Bki45F4wo/VgwhR0mPkmI/AAAAAAAC_-Y/lLaB-t1-IZU/s640/_MG_1523.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
‘Serikali imeshindwa kupambana na Mnyauko’
MBUNGE wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM) ameitaka Serikali kueleza sababu zinazochangia kushindwa kutokomeza ugonjwa wa Mnyauko unaoshambulia migomba Mkoani Kagera. Akiuliza swali la nyongeza Mbunge huyo alisema ugonjwa huo...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Serikali imeshindwa kuzuia mauaji Kiteto?
MAUAJI ya mara kwa mara yanayoendelea wilayani ya Kiteto bila ya jitihada za makusudi kuyakomesha yanaashiria kushindwa kuwajibika kwa baadhi ya viongozi na taasisi wanazoziongoza Tunaelezwa kuanzia Februari hadi sasa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
‘Serikali imeshindwa kusimamia vitega uchumi’
MAKAMU wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema Tanzania ni nchi tajiri kwa kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato, lakini wasimamizi wakubwa ambao ni serikali wameshindwa kusimamia vyanzo hivyo. Dk. Bilal...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mghwira: Serikali imeshindwa kumaliza vifo vya watoto
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Serikali yatakiwa kukomesha ubabe kwenye ukeketaji
Mratibu wa kituo cha TFGM na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Catherine Laboure ya Kijiji cha Masanga kilichopo wilayani Tarime mkoani Mara, Thomas Maruga akiwatembeza maeneo mbalimbali ya shule hiyo na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt. Natalia Kanem (kushoto) wakati wa sherehe ya...