Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali imeshindwa kukomesha mapigano haya?

KWA mara nyingine yamezuka mapigano baina ya wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai katika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Vurugu hizo zinadaiwa kuzuka jana asubuhi baada ya wakulima kuamua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI

  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo, akiendelea na kampeni zake za kuisaka Ikulu nchini Kote huku akiwaomba Watanzania kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ili aweze kuwatumikia kwa uaminifu mkubwa.
Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano  yake alioufanya katika mji...

 

9 years ago

Dewji Blog

MAGUFULI AAHIDI: Ni suala la kukomesha mapigano ya wakulima na wafugaji nchini!

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, akiendelea na kampeni zake za kuisaka Ikulu nchini Kote huku akiwaomba Watanzania kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani  ili aweze kuwatumikia kwa uaminifu mkubwa. PICHA NA MICHUZI JR-DODOMA Dkt Magufuli ameahidi kuwa mara baada ya kuchaguliwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunao uwezo wa kukomesha mauaji haya

Habari za mauaji baina ya wakulima na wafugaji zimeendelea kutawala katika vyombo vya habari nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali imeshindwa kupambana na Mnyauko’

MBUNGE wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM) ameitaka Serikali kueleza sababu zinazochangia kushindwa kutokomeza ugonjwa wa Mnyauko unaoshambulia migomba Mkoani Kagera. Akiuliza swali la nyongeza Mbunge huyo alisema ugonjwa huo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali imeshindwa kuzuia mauaji Kiteto?

MAUAJI ya mara kwa mara yanayoendelea wilayani ya Kiteto bila ya jitihada za makusudi kuyakomesha yanaashiria kushindwa kuwajibika kwa baadhi ya viongozi na taasisi wanazoziongoza Tunaelezwa kuanzia Februari hadi sasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali imeshindwa kusimamia vitega uchumi’

MAKAMU wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema Tanzania ni nchi tajiri kwa kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato, lakini wasimamizi wakubwa ambao ni serikali wameshindwa kusimamia vyanzo hivyo. Dk. Bilal...

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira: Serikali imeshindwa kumaliza vifo vya watoto

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema Serikali imeshindwa kufikia malengo ya milenia katika suala la afya na kusababisha kuwapo kwa idadi kubwa ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana

>Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Watanzania bado wanaishi maisha duni na kukosa ajira kutokana na mfumo wa Serikali uliopo wa kushindwa kutumia vyema rasilimali zilizopo kwa manufaa ya wananchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kukomesha ubabe kwenye ukeketaji

DSC_0300

Mratibu wa kituo cha  TFGM na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Catherine Laboure ya Kijiji cha Masanga kilichopo wilayani Tarime mkoani Mara, Thomas Maruga akiwatembeza maeneo mbalimbali ya shule hiyo na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) na  Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt. Natalia Kanem (kushoto) wakati wa sherehe ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani