‘Serikali imeshindwa kupambana na Mnyauko’
MBUNGE wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM) ameitaka Serikali kueleza sababu zinazochangia kushindwa kutokomeza ugonjwa wa Mnyauko unaoshambulia migomba Mkoani Kagera. Akiuliza swali la nyongeza Mbunge huyo alisema ugonjwa huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Serikali imeshindwa kuzuia mauaji Kiteto?
MAUAJI ya mara kwa mara yanayoendelea wilayani ya Kiteto bila ya jitihada za makusudi kuyakomesha yanaashiria kushindwa kuwajibika kwa baadhi ya viongozi na taasisi wanazoziongoza Tunaelezwa kuanzia Februari hadi sasa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Serikali imeshindwa kukomesha mapigano haya?
KWA mara nyingine yamezuka mapigano baina ya wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai katika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Vurugu hizo zinadaiwa kuzuka jana asubuhi baada ya wakulima kuamua...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
‘Serikali imeshindwa kusimamia vitega uchumi’
MAKAMU wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema Tanzania ni nchi tajiri kwa kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato, lakini wasimamizi wakubwa ambao ni serikali wameshindwa kusimamia vyanzo hivyo. Dk. Bilal...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mghwira: Serikali imeshindwa kumaliza vifo vya watoto
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Maeneo yenye Mnyauko Kagera kuwekwa karantini
MKOA wa Kagera umetangaza kuyaweka chini ya karantini maeneo ya mkoa huo yaliyoathirika na yatakayoathirika na ugonjwa wa migomba (Mnyauko Backeria). Mkaguzi wa Mimea na Mazao Mkoa wa Kagera, Kagombora...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Kampeni Tokomeza Mnyauko kuwafunga wakulima wakaidi
10 years ago
Habarileo06 Aug
Serikali kupambana na wasiotumia EFDs
IMEELEZWA kuwa serikali haitamfumbia macho mfanyabiashara ambaye anakwepa kununua mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) ili kutunza kumbukumbu za mauzo. Mashine hizo pia zinasaidia namna ya kupata mapato yaliyo sahihi kwa wale wanaolipa bila kuumia na kurahisisha kufanya makadirio ya kodi kwa vile taarifa zote atakuwa nazo katika mashine yake.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Lukuvi: Serikali imejipanga kupambana dawa za kulevya
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, amesema serikali imejipanga kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya na itakabiliana na wahusika kwa kutumia kila mbinu...