Dewji: Afrika tunaweza kutokomeza umaskini
MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, na Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji (CCM), amesema nchi za Afrika zina uwezo mkubwa wa kujikomboa katika lindi la umaskini iwapo sera nzuri zitatungwa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Moro, Dar washirikiana kutokomeza umaskini
MANSPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam na Manspaa ya Morogoro zimezindua programu ya kuwezesha ajira kwa vijana na wanawake. Programu hiyo iitwayo Ujirani mwema kwa maendeleo, itatumia sheria kuu...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
WB yataja sababu za umaskini Afrika
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mo Dewji azidi kunga’ra Afrika
MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, Mohamed Dewji ‘Mo’, amezidi kung’ara katika biashara ambako safari hii amejumuishwa kwenye orodha ya mabilionea 55 wa Afrika. Mo ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mjini...
9 years ago
Habarileo29 Nov
Dewji Mtu wa Mwaka Afrika
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL), Mohammed Dewji maarufu Mo, ameshinda tuzo ya Mtu wa Mwaka barani Afrika wa jarida maarufu la Fobes (Forbes Africa Person Of the Year 2015), katika hafla iliyofanyika usiku wa kuamkia jana jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Tigo, Airtel na Vodacom zashirikiana na AU ‘kutokomeza Ebola barani Afrika’
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kampeni maalum ya kampuni za simu tatu nchini zilizoungana kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kutokomeza ugonjwa wa Ebola Afrika. Kushoto ni Mkuu wa Mawasliano na Mahusiano ya Umma kutoka Vodacom Bi. Rosalynn Mworia, na Meneja wa Huduma za Kijamii kutoka Airtel Bi. Hawa Bayumi (kulia). Kuchangia mteja yeyote wa kampuni hizo tatu tajwa anaweza akatuma neno ‘Tokomeza...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Nov
Dewji tajiri zaidi Afrika Mashariki
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed `Mo’ Dewji (39), amezidi kupaa kwa utajiri, kiasi cha sasa kuwa ndiye bilionea kijana zaidi katika nchi za Afrika Mashariki, lakini pia akitajwa ndiye bilionea kijana zaidi barani Afrika.
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325184/highRes/751505/-/maxw/600/-/12ccvmt/-/awepa.jpg)
Umaskini, ajira tishio la usalama Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika