Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WB yataja sababu za umaskini Afrika

Sera mbovu, rushwa, migogoro, kukosekana kwa uwazi ni miongoni mwa vyanzo vya umaskini katika nchi za Afrika, imeelezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yataja sababu wananchi kutopiga kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja sababu zinazochangia wananchi kushindwa kujitokeza kupiga kura katika chaguzi mbalimbali nchini. Sababu hizo zimetajwa mjini Bagamoyo jana na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUICO yataja sababu za kususia uchaguzi TUCTA

CHAMA Cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) kimeeleza sababu za kutoshiriki uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA). Akizungumza jana...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI

  Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema sababu ya kutotangaza mwenendo wa ugonjwa wa Corona ni kutokana na maboresho yanayofanyika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, ambapo kuna marekebisho yanafanyika na ndani ya siku chache marekebisho yatakamilika na watatoa taarifa.
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...

 

10 years ago

BBCSwahili

All Afrika Games CAF yataja makundi

Upangaji wa makundi ya All Africa Games umefanywa na Shirikisho la soka barani Afrika, CAF .

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika limetaja timu zitakazokwaana na Twiga Stars katika fainali za soka za wanawake Congo Brazzaville.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dewji: Afrika tunaweza kutokomeza umaskini

MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, na Mbunge wa Singida Mjini,  Mohamed Dewji (CCM), amesema nchi za Afrika zina uwezo mkubwa wa kujikomboa katika lindi la umaskini iwapo sera nzuri zitatungwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Umaskini, ajira tishio la usalama Afrika Mashariki

Sababu za zinazochochea uvunjifu wa amani na usalama katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika kwa jumla zimetajwa kuwa ni pamoja na umaskini uliokithiri, ukosefu wa ajira sambamba na jamii kuwaachia viongozi pekee jukumu hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi kupitia mifumo ya uwekezaji ni chanzo cha umaskini wa Afrika

Mara nyingi bajeti ya serikali ikikwama kutokana na nchi ikikwama kutokana na nchi wahisani kugoma kutekeleza ahadi zao baada ya kukasirishwa au kutoridhishwa na uwajibikaji mdogo serikalini.

 

11 years ago

Vijimambo

AFRIKA ISINYANYAPALIWE KWA SABABU YA EBOLA- JK



Na Mwandishi Maalum, New YorkRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ameungana na viongozi wengine duniani katika kuichagiza Jumuiya ya Kimataifa kuzisaidia Liberia, Siera Leone na Guinea mataifa ambayo yameathirika vibaya na mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola.
Amesema misaada inayopelewa na itakayopelewa katika nchi hizo inatakiwa kuwa endelevu na ya uhakika hadi pale ugonjwa huo utakapodhibitiwa,Rais Kikwete ametoa wito huo siku ya alhamisi wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani