Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi kupitia mifumo ya uwekezaji ni chanzo cha umaskini wa Afrika

Mara nyingi bajeti ya serikali ikikwama kutokana na nchi ikikwama kutokana na nchi wahisani kugoma kutekeleza ahadi zao baada ya kukasirishwa au kutoridhishwa na uwajibikaji mdogo serikalini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Umaskini chanzo cha vifo vya wajawazito 

IMEELEZWA kuwa wajawazito wengi wanapoteza maisha wakati wa kujifungua kutokana na umaskini wa kipato. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Muuguzi Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, alipozungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake

Tendeza Masegedo ni mwanamke anayejihusisha na ujasiriamali na kilimo katika Kijiji cha Pongwe Kiona, Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.

 

9 years ago

Vijimambo

Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?


Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Watafiti kuwatenga wakulima chanzo cha kilimo duni, umaskini

Serikali na taasisi mbalimbali za kilimo zimekuwa zikifanya utafiti wa kilimo na mazao kwa lengo la kuboresha kilimo nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mongella: Kufutwa Azimio la Arusha chanzo cha ufisadi

MWANASIASA mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema kufutwa kwa Azimio la Arusha lililokuwa linasimamia misingi na maadili ya uongozi, ndio chanzo cha kuwapo matatizo ya ufisadi yanayotokea sasa.

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo dume chanzo cha matatizo Afrika -Sumaye

ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema changamoto nyingi za Afrika zimetokana na mfumo uliopo ambao unawaacha nyuma wanawake ambao ndio wanaoguswa zaidi na changamoto hizo.

 

5 years ago

CCM Blog

WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA

  Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya corona (covid-19), tofauti na ilivyotarajiwa.

Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.

Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...

 

5 years ago

Michuzi

Msingi wa maisha yako, familia ni uwekezaji, chipsi kuku ni umaskini

Na Mwandishi WetuFAMILIA za Kiafrika mara nyingi zimekuwa na wanafamilia wasiopungua wanane. Hiyo ni staili ya maisha hasa pale familia inapukuwa na ahueni ya kipato japo kidogo.
Utakuta familia kama hizo zina utamaduni wa kudekeza watoto, utasikia kanunueni chipsi kuku, watoto utawasikia wakisema sisi hatupendi ugali, maharage, mchicha na mtindi.
Maharage ndio usiseme kabisa, utamsikia mama akiwauliza watoto sasa mtakula nini? jibu rahisi la watoto utawasikia wakisema chipsi kuku au chipsi...

 

5 years ago

Michuzi

Msingi wa maisha yako, familia ni uwekezaji, chipsi kuku ni umaskini



FAMILIA za Kiafrika mara nyingi zimekuwa na wanafamilia wasiopungua wanane. Hiyo ni staili ya maisha hasa pale familia inapukuwa na ahueni ya kipato japo kidogo.

Utakuta familia kama hizo zina utamaduni wa kudekeza watoto, utasikia kanunueni chipsi kuku, watoto utawasikia wakisema sisi hatupendi ugali, maharage, mchicha na mtindi.

Maharage ndio usiseme kabisa, utamsikia mama akiwauliza watoto sasa mtakula nini? jibu rahisi la watoto utawasikia wakisema chipsi kuku au chipsi zege (mayayi) na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani