Ufisadi kupitia mifumo ya uwekezaji ni chanzo cha umaskini wa Afrika
Mara nyingi bajeti ya serikali ikikwama kutokana na nchi ikikwama kutokana na nchi wahisani kugoma kutekeleza ahadi zao baada ya kukasirishwa au kutoridhishwa na uwajibikaji mdogo serikalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Umaskini chanzo cha vifo vya wajawazitoÂ
IMEELEZWA kuwa wajawazito wengi wanapoteza maisha wakati wa kujifungua kutokana na umaskini wa kipato. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Muuguzi Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, alipozungumza...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-0/s480x480/12049299_1332042460143502_2036217313368613952_n.jpg?oh=fb1ade5bf8725646a73960ef09cb4560&oe=5690719B)
Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.
11 years ago
Mwananchi15 May
Watafiti kuwatenga wakulima chanzo cha kilimo duni, umaskini
10 years ago
Habarileo11 Dec
Mongella: Kufutwa Azimio la Arusha chanzo cha ufisadi
MWANASIASA mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema kufutwa kwa Azimio la Arusha lililokuwa linasimamia misingi na maadili ya uongozi, ndio chanzo cha kuwapo matatizo ya ufisadi yanayotokea sasa.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Mfumo dume chanzo cha matatizo Afrika -Sumaye
ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema changamoto nyingi za Afrika zimetokana na mfumo uliopo ambao unawaacha nyuma wanawake ambao ndio wanaoguswa zaidi na changamoto hizo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s72-c/who.jpg)
WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s1600/who.jpg)
Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.
Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7mgiLAg8tr4/XmdxiMfkJDI/AAAAAAALiYM/lFKSjWYCci4ZrXVuQaw0ZpP1md7yZ7J2wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Msingi wa maisha yako, familia ni uwekezaji, chipsi kuku ni umaskini
Utakuta familia kama hizo zina utamaduni wa kudekeza watoto, utasikia kanunueni chipsi kuku, watoto utawasikia wakisema sisi hatupendi ugali, maharage, mchicha na mtindi.
Maharage ndio usiseme kabisa, utamsikia mama akiwauliza watoto sasa mtakula nini? jibu rahisi la watoto utawasikia wakisema chipsi kuku au chipsi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OrK_AOeNfg4/XmejbkxK7II/AAAAAAALidM/Q70bS4lz7HseIOF_Dkj8Yp6CVxSu1b8QACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Msingi wa maisha yako, familia ni uwekezaji, chipsi kuku ni umaskini
FAMILIA za Kiafrika mara nyingi zimekuwa na wanafamilia wasiopungua wanane. Hiyo ni staili ya maisha hasa pale familia inapukuwa na ahueni ya kipato japo kidogo.
Utakuta familia kama hizo zina utamaduni wa kudekeza watoto, utasikia kanunueni chipsi kuku, watoto utawasikia wakisema sisi hatupendi ugali, maharage, mchicha na mtindi.
Maharage ndio usiseme kabisa, utamsikia mama akiwauliza watoto sasa mtakula nini? jibu rahisi la watoto utawasikia wakisema chipsi kuku au chipsi zege (mayayi) na...