Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umaskini chanzo cha vifo vya wajawazito 

IMEELEZWA kuwa wajawazito wengi wanapoteza maisha wakati wa kujifungua kutokana na umaskini wa kipato. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Muuguzi Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, alipozungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chanzo cha kutopungua vifo vya akinamama chatajwa

Hawa GhasiaSERIKALI imesema kwamba kutofikiwa kwa lengo la kupunguza vifo vya akinamama kwa mujibu wa Malengo ya Milenia, hakutokani na kukosekana kwa mpango mkakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake

Tendeza Masegedo ni mwanamke anayejihusisha na ujasiriamali na kilimo katika Kijiji cha Pongwe Kiona, Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.

 

9 years ago

Vijimambo

Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?


Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Watafiti kuwatenga wakulima chanzo cha kilimo duni, umaskini

Serikali na taasisi mbalimbali za kilimo zimekuwa zikifanya utafiti wa kilimo na mazao kwa lengo la kuboresha kilimo nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi kupitia mifumo ya uwekezaji ni chanzo cha umaskini wa Afrika

Mara nyingi bajeti ya serikali ikikwama kutokana na nchi ikikwama kutokana na nchi wahisani kugoma kutekeleza ahadi zao baada ya kukasirishwa au kutoridhishwa na uwajibikaji mdogo serikalini.

 

11 years ago

Habarileo

Watoa huduma waaswa kutokuwa chanzo cha vifo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amesema pamoja na changamoto mbalimbali zinazokabili kampeni ya kupunguza vifo vya akinamama wajawazito na watoto, lakini baadhi ya vifo hivyo husababishwa na uzembe wa watoa huduma za afya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

10 years ago

Vijimambo

VYOMBO VYA HABARI VINAWEZA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Jan Eliasson akizungumza wakati wa uzinduzi wa mfumo mpya wa thathmini na utambuzi wa viashiria vinavyoweza kama visipodhibitiwa mapema kuleta uhalifu, uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita. uzinduzi huo umefanyika siku ya Alhamisi hapa Makao Makuu ya Umoja wa MataifaNaibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa hafla hiyo ambayo iliandaliwa kwa pamoja na Wakilishi za Kudumu...

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE



 Waziri Ummy Mwalimu akiwajulia hali akina mama wajawazito waliolazwa kwenye wodi ya wazazi ambapo vifo vitokanavyo na uzazi hosputalini hapo vimepungua.Waziri wa Afya, Maendeleo, Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikagua miundombinu ya hospitali ya rufaa ya mkoa Temeke ,Waziri Ummy amempongeza Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo.Dkt....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani