Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?
Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo18 Sep
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-0/s480x480/12002966_1319356138078801_1346754164539164416_n.png?oh=af41aca4be4e1f4f0d97d87efac59e66&oe=569D29B3)
Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Umaskini chanzo cha vifo vya wajawazitoÂ
IMEELEZWA kuwa wajawazito wengi wanapoteza maisha wakati wa kujifungua kutokana na umaskini wa kipato. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Muuguzi Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, alipozungumza...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake
11 years ago
Mwananchi15 May
Watafiti kuwatenga wakulima chanzo cha kilimo duni, umaskini
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Ufisadi kupitia mifumo ya uwekezaji ni chanzo cha umaskini wa Afrika
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ghasia Delhi: Ni nini chanzo cha maandamano mabaya yanayoshuhudiwa mji mkuu wa India?
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?
”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
9 years ago
Press12 Oct
Dodoma; Nini hasa ni kivutio katika mji huu?
Si jambo geni mtu kuhisi Dar es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania, hii ni kutokana na miji mikuu mingi kuwa na idadi kubwa ya watu, vivutio vingi, kukua kimaendeleo na uwepo wa ofisi nyingi za kiserikali.
Dodoma ilijipatia umaarufu wake na kutambulika kama mji mkuu mwaka 1973, hivyo ofisi nyingi zilianza kuhamishia makazi yake ndani ya mji huu, ambapo pia Bunge la Tanzania liliweka makazi yake na kusababisha ongezeko la watu wengi na watumishi wa serikali kutoka mikoa mingine kwa kila msimu wa...
9 years ago
Press12 Oct
Dodoma; Nini hasa ni kivutio katika mji huu?
Si jambo geni mtu kuhisi Dar es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania, hii ni kutokana na miji mikuu mingi kuwa na idadi kubwa ya watu, vivutio vingi, kukua kimaendeleo na uwepo wa ofisi nyingi za kiserikali.
Dodoma ilijipatia umaarufu wake na kutambulika kama mji mkuu mwaka 1973, hivyo ofisi nyingi zilianza kuhamishia makazi yake ndani ya mji huu, ambapo pia Bunge la Tanzania liliweka makazi yake na kusababisha ongezeko la watu wengi na watumishi wa serikali kutoka mikoa mingine kwa kila...