Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Nini kifanyike Tanzania?
Nini kifanyike Tanzania?
Zitto Kabwe
Hali yetu ya sasa
Ni dhahiri kuwa hofu imetanda miongoni mwa Watanzania. Ingawa watawala na mashabiki wao hukanusha jambo hili, ukweli ni kuwa nina amini wao wenyewe ndani ya mioyo yao wanakiri kuwa nchi sasa inaendeshwa kwa hofu na wananchi wamejaa hofu kubwa.
Hivi sasa mwananchi akifanya jambo lolote linaloonekana kuwa kinyume na fikra za watawala, wenzake wanamtazama kwa jicho kuwa atakuwa mhanga wa vitisho, mateso, kutekwa, kupotea ama kubambikiwa...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-0/s480x480/12049299_1332042460143502_2036217313368613952_n.jpg?oh=fb1ade5bf8725646a73960ef09cb4560&oe=5690719B)
Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s72-c/2.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?
![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?
ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Nini kifanyike kuzuia unene kupita kiasi?
MAFUTA ni kiungo muhimu kinachokipa chakula hadhi na kutengeneza ladha nzuri. Pia hutoa vitamini muhimu na vitamini-mafuta mumunyifu. Bila shaka kila mtu anafurahia kula vyakula vya kukaanga na vyenye jibini,...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MAONI: Bunge EALA limesambaratika, nini kifanyike?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nNHpwXruYU8/VA_2A7m60HI/AAAAAAAGiVc/1BiHV2uzawg/s72-c/6b015ccb80608d0af5e8a8c69c6fea2b.jpg)
Mjadala: kifanyike nini kupunguza ama kukomesha ajali barabarani??
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNHpwXruYU8/VA_2A7m60HI/AAAAAAAGiVc/1BiHV2uzawg/s1600/6b015ccb80608d0af5e8a8c69c6fea2b.jpg)