MAONI: Bunge EALA limesambaratika, nini kifanyike?
>Siyo siri tena kwamba Bunge la Afrika Mashariki (EALA) limesambaratika kutokana na wabunge wake kuendekeza migogoro na hatimaye kukwamisha shughuli za Bunge hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Nini kifanyike Tanzania?
Nini kifanyike Tanzania?
Zitto Kabwe
Hali yetu ya sasa
Ni dhahiri kuwa hofu imetanda miongoni mwa Watanzania. Ingawa watawala na mashabiki wao hukanusha jambo hili, ukweli ni kuwa nina amini wao wenyewe ndani ya mioyo yao wanakiri kuwa nchi sasa inaendeshwa kwa hofu na wananchi wamejaa hofu kubwa.
Hivi sasa mwananchi akifanya jambo lolote linaloonekana kuwa kinyume na fikra za watawala, wenzake wanamtazama kwa jicho kuwa atakuwa mhanga wa vitisho, mateso, kutekwa, kupotea ama kubambikiwa...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s72-c/2.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?
![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s1600/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?
ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Nini kifanyike kuzuia unene kupita kiasi?
MAFUTA ni kiungo muhimu kinachokipa chakula hadhi na kutengeneza ladha nzuri. Pia hutoa vitamini muhimu na vitamini-mafuta mumunyifu. Bila shaka kila mtu anafurahia kula vyakula vya kukaanga na vyenye jibini,...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-0/s480x480/12002966_1319356138078801_1346754164539164416_n.png?oh=af41aca4be4e1f4f0d97d87efac59e66&oe=569D29B3)
Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?
Ikiwa ni siku tatu tu! zimebaki kutoa movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.
Nanukuu;
"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?
Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nNHpwXruYU8/VA_2A7m60HI/AAAAAAAGiVc/1BiHV2uzawg/s72-c/6b015ccb80608d0af5e8a8c69c6fea2b.jpg)
Mjadala: kifanyike nini kupunguza ama kukomesha ajali barabarani??
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNHpwXruYU8/VA_2A7m60HI/AAAAAAAGiVc/1BiHV2uzawg/s1600/6b015ccb80608d0af5e8a8c69c6fea2b.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Nini kifanyike katika Sekta ya utalii ndani ya utawala unaokuja? 2015-2025
Tanzania katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, 2005-2015, imeweza kukuza uchumi wake kupitia sekta ya utalii, hasa kwa kuwa na maendeleo makubwa katika kuongeza ajira, ongezeko la fedha za kigeni na kuifanya nchi kutambulika kitaifa.
Sekta ya utalii Tanzania 2014, iliweza kuongeza pato la taifa kwa 14%, ambapo ni sawa na billioni za Kitanzania 8,252.7 na kukadiriwa kupanda kwa 1.3%mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2015. Kwa upande mwingine sekta hii haijafanya vizuri zaidi ukiringanisha...