Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nini kifanyike kuzuia unene kupita kiasi?

MAFUTA ni kiungo muhimu kinachokipa chakula hadhi na kutengeneza ladha nzuri. Pia hutoa vitamini muhimu na vitamini-mafuta mumunyifu. Bila shaka kila mtu anafurahia kula vyakula vya kukaanga na vyenye jibini,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Unene kupita kiasi unachochea kisukari, saratani, kiharusi

Katika baadhi ya tamaduni hasa katika nchi za Afrika, unene unatajwa kuwa ni sifa, ufahari au pengine kipimo cha maisha mazuri. Aghalabu mtu anaponenepa huambiwa hongera au watu humzungumzia kuwa ana maisha mazuri.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatari Kwa Watoto Wenye unene kupita kiasi

Kutokana na hali ya maisha kubadilika na watu kubadili mienendo ya maisha kwa kula vyakula vya kisasa vingi vikiwa ni vile vinavyozalishwa viwandani, magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameanza kubisha hodi hata kwa watoto na vijana.

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini tunatokwa jasho kupita kiasi?

Inawezekana katika maisha ya kila siku umewahi kukutana na mtu ambaye akikusalimu na kukupa mkono, unahisi majimaji mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto

Mtoto wako ana aibu kupita kiasi? Unafahamu kuwa kitendo cha mtoto wako kuwa katika hali hiyo kinaweza kuathiri hata maisha yake ya baadaye?

 

10 years ago

Mwananchi

Hofu kupita kiasi ni janga linalowaathiri wengi

Hofu iliyopitiliza au au anxiety au GAD huambatana na hali ya kuwa na wasiwasi kupita kiasi juu ya maisha ya kila siku pamoja na matukio yake bila hata muhusika kuwa na sababu maalumu ya kuwa na hofu hiyo.

 

10 years ago

GPL

MIMEA INAYOSAIDIA KUONDOA TATIZO LA HEDHI NDOGO KUPITA KIASI

Leo tutazungumzia ni mimea gani ambayo inaweza kumsaidia mwanamke hapohapo nyumbani kuweza kuondoa matatizo ya hedhi na kuondokana na adha za hapa na pale ambazo zinaweza kumsumbua kwa muda mrefu hata kumhangaisha sana katika harakati yake na mume wake kwenye kuijenga familia yake. Hivyo basi tutaangalia tatizo hili la hedhi ndogo kupita kiasi likoje kitaalamu na baadaye tutaangalia ni jinsi gani tunaweza kuliondoa kwa kutumia...

 

5 years ago

Zitto Kabwe, MB

Nini kifanyike Tanzania?

Nini kifanyike Tanzania?

Zitto Kabwe

nyerere

Hali yetu ya sasa
Ni dhahiri kuwa hofu imetanda miongoni mwa Watanzania. Ingawa watawala na mashabiki wao hukanusha jambo hili, ukweli ni kuwa nina amini wao wenyewe ndani ya mioyo yao wanakiri kuwa nchi sasa inaendeshwa kwa hofu na wananchi wamejaa hofu kubwa.

Hivi sasa mwananchi akifanya jambo lolote linaloonekana kuwa kinyume na fikra za watawala, wenzake wanamtazama kwa jicho kuwa atakuwa mhanga wa vitisho, mateso, kutekwa, kupotea ama kubambikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?

ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?

Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza tangu nchi yetu ipate uhuru mwaka 1961, mihimili ya dola, yaani Mahakama, Bunge na Serikali ikigongana na kukinzana katika suala muhimu la kitaifa, huku ikiibua mashaka kuhusu tafsiri ya dhana ya mgawanyo wa madaraka miongoni mwa mihimili hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani