Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unene kupita kiasi unachochea kisukari, saratani, kiharusi

Katika baadhi ya tamaduni hasa katika nchi za Afrika, unene unatajwa kuwa ni sifa, ufahari au pengine kipimo cha maisha mazuri. Aghalabu mtu anaponenepa huambiwa hongera au watu humzungumzia kuwa ana maisha mazuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nini kifanyike kuzuia unene kupita kiasi?

MAFUTA ni kiungo muhimu kinachokipa chakula hadhi na kutengeneza ladha nzuri. Pia hutoa vitamini muhimu na vitamini-mafuta mumunyifu. Bila shaka kila mtu anafurahia kula vyakula vya kukaanga na vyenye jibini,...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatari Kwa Watoto Wenye unene kupita kiasi

Kutokana na hali ya maisha kubadilika na watu kubadili mienendo ya maisha kwa kula vyakula vya kisasa vingi vikiwa ni vile vinavyozalishwa viwandani, magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameanza kubisha hodi hata kwa watoto na vijana.

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto

Mtoto wako ana aibu kupita kiasi? Unafahamu kuwa kitendo cha mtoto wako kuwa katika hali hiyo kinaweza kuathiri hata maisha yake ya baadaye?

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini tunatokwa jasho kupita kiasi?

Inawezekana katika maisha ya kila siku umewahi kukutana na mtu ambaye akikusalimu na kukupa mkono, unahisi majimaji mkononi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hofu kupita kiasi ni janga linalowaathiri wengi

Hofu iliyopitiliza au au anxiety au GAD huambatana na hali ya kuwa na wasiwasi kupita kiasi juu ya maisha ya kila siku pamoja na matukio yake bila hata muhusika kuwa na sababu maalumu ya kuwa na hofu hiyo.

 

10 years ago

GPL

MIMEA INAYOSAIDIA KUONDOA TATIZO LA HEDHI NDOGO KUPITA KIASI

Leo tutazungumzia ni mimea gani ambayo inaweza kumsaidia mwanamke hapohapo nyumbani kuweza kuondoa matatizo ya hedhi na kuondokana na adha za hapa na pale ambazo zinaweza kumsumbua kwa muda mrefu hata kumhangaisha sana katika harakati yake na mume wake kwenye kuijenga familia yake. Hivyo basi tutaangalia tatizo hili la hedhi ndogo kupita kiasi likoje kitaalamu na baadaye tutaangalia ni jinsi gani tunaweza kuliondoa kwa kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Diaspora Wakiondoka Zanzibar baada ya Kumaliza Zoezi la Kutoa Huduma ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno.

Madaktari Diaspora Washinton wakiwa katika bandari ya Zanzibar wakijiandaa kurudi nyumbani baada ya kumaliza ratiba yao Tanzania ya kutoa hudua ya Afya kwa Wananchi wa sehemu hizo mbili wakiwa Tanzania wameletwa na Jumuiya ya Watanzania Washington wakiongozana na Rais wa Jumuiya hiyo Ndg Iddi Sandaly na Mjumbe wa Kamati Bi Asha Nyanganyi. Zanzibar walikuwa wageni swa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).Madaktari haio wakiwa katika bandari ya...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India

Image 1

from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.

Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani