Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghasia Delhi: Ni nini chanzo cha maandamano mabaya yanayoshuhudiwa mji mkuu wa India?

Tangu wikendi iliyopita takriban watu 23 wameuawa katika mji mkuu India, Delhi, huku idadi ya waliojeruhiwa ikisadikiwa kuzidi 200.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHANZO CHA MAJI IKORONGO MKOMBOZI WA MJI WA MPANDA

Wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiangalia chanzo cha chemichemi ya maji cha Ikorongo kilichoko kilometa 13.2 kutoka Mpanda mjini. Chanzo hicho kina uwezo wa kutoa maji ya kutosha mji wote wa Mpanda.Mhandisi wa Maji wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda Magdalena Mkeremi (aliyejifunika mtandio) akifafanua jambo kwa timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi Rais, Tume ya Mipango walipotembelea chanzo hicho hivi karibuniMhandisi Happiness Magalula,...

 

9 years ago

Vijimambo

Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?


Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mji wa Delhi : Wanawake wakiislamu wazungumzia vile walivyochomewa nyumba na kuvuliwa nguo

Ghasia za kidini katika mji mkuu wa India zimesababisha maelfu ya watu kutoroka makazi yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Wahanga wa vurugu za Delhi wahoji hatma yao

Zaidi ya watu 40 wamefariki katika vurugu za siku tatu nchini India, walengwa wakiwa waislamu ingawa wote wabaniani na waislamu wamekufa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhusiano kati ya Korea Kusini na Kaskazini: Nini chanzo cha Uhasama uliopo kati ya mataifa haya

Miezi ya hivi karibuni , kumekuwa na uvumi kuhusu hali ya uchumi na afya kutokana na virusi vya corona, licha ya kwamba Korea Kaskazini ilithibitisha kuwa hakuna maambukizi ya corona.

 

10 years ago

GPL

AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI

Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

India-Tanzania Business Forum Awards President Kikwete in New Delhi today

The Chairman of the India Tanzania Business Forum Mr.Gagan Gupta hands over a special award to President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in recognition for his efforts in promoting healthy business relations and working environment for Indian investments in Tanzania at TAJ Palace Hotel in New Delhi India today.On the left is India's Minister for Agriculture Mr.Mohanbai Kalyanjibhai Kundariya. Photo by Freddy Maro

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA CHI ZA AFRIKA NA INDIA NEW DELHI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu wa India Dr. Narendra Moodi walipokutana kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Stadium Indiragandi mjini New Delhi India jana, wakati Makamu wa Rais alipohudhuria na kuhutubia mkutano wa tatu wa mahusiano ya India na Afrika kwa Wakuu wa Nchi hizo uliolenga na kujadili suala la kuendeleza fursa za kimahusiano katika Nyanja za Biashara, Sayansi, Teknolojia, Afya na Kilimo. Makamu wa Rais wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani