Dodoma; Nini hasa ni kivutio katika mji huu?
Si jambo geni mtu kuhisi Dar es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania, hii ni kutokana na miji mikuu mingi kuwa na idadi kubwa ya watu, vivutio vingi, kukua kimaendeleo na uwepo wa ofisi nyingi za kiserikali.
Dodoma ilijipatia umaarufu wake na kutambulika kama mji mkuu mwaka 1973, hivyo ofisi nyingi zilianza kuhamishia makazi yake ndani ya mji huu, ambapo pia Bunge la Tanzania liliweka makazi yake na kusababisha ongezeko la watu wengi na watumishi wa serikali kutoka mikoa mingine kwa kila...
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Nini hasa ni kivutio katika mji aliozaliwa hayati Mwl. Julius K Nyerere?
Butiama ni mji uliopo kaskazini mwa Tanzania, katika wilaya ya Musoma mkoa wa Mara. Mahala hapa ndipo alipozaliwa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(Baba wa Taifa), ambapo leo ni siku ya kukumbuku ya kifo chake (13 April 1922-14 Octoba 1999)
Kijiji hiki kina historia Kubwa ambapo leo imekuwa siku muhimu ya kukumbuka mahala alipozaliwa shujaa wa Tanzania aliyepelekea uhuru na umoja wa nchi yetu.
Ndani ya kijiji cha Butiama kuna vingi...
5 years ago
MichuziMiradi ya ULGSP yawa kivutio kwa wageni katika mji wa Sumbwanga
Katika kuhakikisha maendeleo ya nchi yanamgusa kila mwananchi katika mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imepewa dhamana ya kusimamia programu ya uimarishaji miji (Urban Local Government Support Program – ULGSP) kwaajili ya kuimarisha halmashauri 18 za miji na manispaa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia.
Hivi karibuni (2.6.2020) Waziri wa OR – TAMISEMI Mh. Suleiman Jafo ametembelea miradi mitatu inayotekelezwa na...
11 years ago
GPLMAMLAKA YA HALI YA HEWA YAWA KIVUTIO KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA NANENANE MJINI DODOMA
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?
”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Je, unadhani nini hasa chanzo cha umaskini Tanzania?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-0/s480x480/12049299_1332042460143502_2036217313368613952_n.jpg?oh=fb1ade5bf8725646a73960ef09cb4560&oe=5690719B)
Tanzanite, Dhahabu, makaa ya mawe, almasi, urani, Mbuga za wanyama kama vile serengeti, Manyara, Ngorongoro, ardhi yenye rutuba, Mlima Kilimanjaro, maziwa makubwa matatu, bahari ya hindi na utajiri mwingine mwingi, hivi vyote vinapatikana ndani ya Tanzania lakini ajabu wananchi wake wengi ni maskini sana.
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii
Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya ‘haturudi nyuma’ ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […]
The post Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM BlogMIRADI YA ULGSP YAWA KIVUTIO KWA WAGENI MJI WA SUMBAWANGA
Katika kuhakikisha maendeleo ya nchi yanamgusa kila mwananchi katika mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imepewa dhamana ya kusimamia programu ya uimarishaji miji (Urban Local Government Support Program – ULGSP) kwaajili ya kuimarisha halmashauri 18 za miji na manispaa kwa ufadhili wa Benki ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lYqbjWeNbek/Vh3xXMxx1hI/AAAAAAAH_44/ohp2q8-__Io/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAHIMIZA WAANIDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA YAO HASA WAKATI HUU WA UCHAGUZI.
Mwamanga ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufungaji wa kongamano hilo amewasihi waandishi wa habari kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya taaluma yao ili kuepukana upotoshaji na kuitia nchi katika mgogoro usiokuwa wa lazima. Amesema taaluma...