Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika limetaja timu zitakazokwaana na Twiga Stars katika fainali za soka za wanawake Congo Brazzaville.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

All Afrika Games CAF yataja makundi

Upangaji wa makundi ya All Africa Games umefanywa na Shirikisho la soka barani Afrika, CAF .

 

9 years ago

Mwananchi

WB yataja sababu za umaskini Afrika

Sera mbovu, rushwa, migogoro, kukosekana kwa uwazi ni miongoni mwa vyanzo vya umaskini katika nchi za Afrika, imeelezwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapinzani wa Kagame kuandamana Afrika.K

Chama cha upinzani cha Rwanda National Congress leo kinatarajiwa kuandaa maandamano ya raia wa Rwanda wanaoishi Afrika Kusini kulalamikia mauaji ya Kanali Patrick Karegeya

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini Kuchunguza ajali ya Twiga

Taasisi inayolinda haki za wanyama Afrika ya Kusini inachunguza kifo cha Twiga ambaye aliyekufa wakati akisafirishwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Twiga Stars yafuzu michezo Afrika

MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...

 

11 years ago

Habarileo

Katibu wa zamani Bunge la Afrika awakosoa wapinzani

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Bunge la Afrika na Kenya, Murumba Werunga, amevitaka vyama vya upinzani nchini, kuhakikisha vinachangia katika kutoa mawazo yao juu ya masuala ya maendeleo na si kupinga kila kitu kinachowasilishwa na Serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yakataa kuahirisha kombe la Afrika

Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekata kuahirisha mchuano wa kombe la mataifa licha ombi la Morocco ikihofia mlipuko wa Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kutoa hatima ya Twiga Stars kucheza Afrika

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema Aprili 11 itaweka wazi hatma ya timu ya soka ya wanawake (Twiga Stars) kushiriki au la michezo ya Afrika ya Septemba nchini Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Dewji Blog

CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-Ayew

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani