CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika
Shirikisho la soka barani Afrika limetaja timu zitakazokwaana na Twiga Stars katika fainali za soka za wanawake Congo Brazzaville.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
All Afrika Games CAF yataja makundi
9 years ago
Mwananchi19 Oct
WB yataja sababu za umaskini Afrika
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Wapinzani wa Kagame kuandamana Afrika.K
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Afrika Kusini Kuchunguza ajali ya Twiga
10 years ago
Mtanzania11 Apr
Twiga Stars yafuzu michezo Afrika
MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...
11 years ago
Habarileo16 Dec
Katibu wa zamani Bunge la Afrika awakosoa wapinzani
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Bunge la Afrika na Kenya, Murumba Werunga, amevitaka vyama vya upinzani nchini, kuhakikisha vinachangia katika kutoa mawazo yao juu ya masuala ya maendeleo na si kupinga kila kitu kinachowasilishwa na Serikali.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
CAF yakataa kuahirisha kombe la Afrika
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Serikali sasa kutoa hatima ya Twiga Stars kucheza Afrika
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.
Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.
Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...