Serikali sasa kutoa hatima ya Twiga Stars kucheza Afrika
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema Aprili 11 itaweka wazi hatma ya timu ya soka ya wanawake (Twiga Stars) kushiriki au la michezo ya Afrika ya Septemba nchini Congo Brazzaville.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Twiga Stars kucheza Chamazi
10 years ago
Mtanzania11 Apr
Twiga Stars yafuzu michezo Afrika
MSHAMU NGOJWIKE NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, jana ilifuzu kwa mbinde fainali za Michezo ya Afrika ‘All African Games’ baada ya kuchapwa mabao 3-2 na Zambia ‘Shepolopolo’.
Licha ya kipigo hicho, Twiga Stars imenufaika na ushindi wa mabao 4-2 iliyoupata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Lusaka, Zambia na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 6-5.
Fainali za michuano hiyo zimepangwa kufanyika Congo, Brazzaville...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u8m0F01QrxE/Vek3QhaHF4I/AAAAAAAH2RU/G-nx9VtGdNk/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars yaondoka kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u8m0F01QrxE/Vek3QhaHF4I/AAAAAAAH2RU/G-nx9VtGdNk/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-goCfa6KsvIs/Vek3Qilfi5I/AAAAAAAH2RM/SAuGOh-elQ0/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars ‘Kimeeleweka’ wapaa Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air
Tanzania) jana jioni tayari kwa kuanza
safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika
(All African Games).
Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games),...
9 years ago
Michuzi27 Oct
TWIGA KUCHEZA NA MALAWI NOVEMBA 7
![](http://tff.or.tz/images/Tanzanite.png)
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3
10 years ago
Mwananchi09 May
Hatima ya Lowassa, Membe sasa Mei 20
11 years ago
TheCitizen14 Feb
Twiga Stars out to down Zambians
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa