Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TWIGA KUCHEZA NA MALAWI NOVEMBA 7

Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Miguu (Twiga Stars) inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi Novemba 7, 2015 jijini Dar es salaam.Mchezo huo wa kirafiki ni sehmu ya kujipima kwa Twiga Stars inayonolewa na kocha Rogasian Kaijage, ambayo ilishiriki Fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Agosti – Septemba nchini Congo – Brazzavile.Awali Twiga Stars ilikua icheze mchezo huo nchini Malawi Oktoba 24, kabla ya chama cha soka nchini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars kuivaa Malawi Novemba 7 Dar

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuwa na pambano la kirafiki dhidi ya wenzao wa Malawi Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars kucheza Chamazi

Mechi ya pili ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kufuzu kushiriki Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) katika ya Twiga Stars dhidi ya Zambia ‘Shepolopolo’ itachezwa Machi 2 mwaka huu kwenye

 

9 years ago

Michuzi

STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA

TIMU ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kusafiri na ndege ya binafsi ya kukodi ya shirika la Fastjet kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano utakaochezwa Novemba 17 mjini Algiers.Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fasjet kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Jimmy Kibati amesema kampuni yao imefikia makubaliano na TFF ya kuwa msafirishaji rasmi wa timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa fainali za...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kutoa hatima ya Twiga Stars kucheza Afrika

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema Aprili 11 itaweka wazi hatma ya timu ya soka ya wanawake (Twiga Stars) kushiriki au la michezo ya Afrika ya Septemba nchini Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Michuzi

KUZIONA TWIGA NA MALAWI 1,000/= TU

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza kiingilio cha shilingi Elfu moja (1,000)  ndio kitakachotumika kuingia kushuhudia mchezo wa kirafiki wa Kimataifa kati ya Timu ya Taifa Wanawake ‘Twiga Stars’ dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake Malawi utakaochezwa kesho Jumamosi, Novemba 7 katika uwanja wa Azam Chamazi.Twiga Stars inayonelewa na kocha mzawa Rogasian Kaijage iliingia kambini wiki iliyopita ambapo imekua ikifaya mazoezi kila siku katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo...

 

9 years ago

Habarileo

Twiga, Malawi kumuaga Chabruma Jumamosi

TIMU ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itatumia mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 7 mwaka huu kumuaga mshambuliaji wao Ester Chabruma.

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA YAENDELEA KUJIFUA KUWAVAA MALAWI

Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ inayonolewa na kocha mkuu Rogasian Kaijage imendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 07, mwaka huu jijini Dar es salaam katika uwanja wa Azam Chamazi.
Twiga Stars iliingia kambini Oktoba 29, katika hosteli za Shirikisho zilizopo Karume, ina kikosi cha wachezaji 22 wanaofanya mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume.
Mchezo dhidi ya Malawi ni mchezo wa kirafiki wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Kaijage names 22 Twiga Stars players for Malawi test

National women’s soccer team, Twiga Stars head coach, Rogasian Kaijage, has named a 22-member squad that will face Malawi in a friendly match on Saturday.

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya

Soccer results

ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE

Bournemouth 0 –  1 Newcastle United

West Ham United 1 – 1 Everton

Sunderland 0 – 1 Southampton

Norwich City 1 – 0 Swansea City

Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion

Leicester City 2 – 1 Watford

Stoke City 1 – 0 Chelsea 

HISPANIA- PRIMERA DIVISION

Celta de Vigo 1 – 5 Valencia

Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña

Eibar 3 – 1 Getafe

Rayo Vallecano 2 – 1 Granada

Málaga 0 – 1 Real Betis

UJERUMANI – BUNDESLIGA

FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg

Bayer Leverkusen 1 – 2...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani