TWIGA YAENDELEA KUJIFUA KUWAVAA MALAWI
![](http://4.bp.blogspot.com/-PtLqESbv-Rw/VjdIUfBt2OI/AAAAAAAID6E/KtCpQ0ob64I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-02%2Bat%2B2.23.35%2BPM.png)
Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ inayonolewa na kocha mkuu Rogasian Kaijage imendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 07, mwaka huu jijini Dar es salaam katika uwanja wa Azam Chamazi.
Twiga Stars iliingia kambini Oktoba 29, katika hosteli za Shirikisho zilizopo Karume, ina kikosi cha wachezaji 22 wanaofanya mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume.
Mchezo dhidi ya Malawi ni mchezo wa kirafiki wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15
TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s72-c/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s640/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro kimeendelea kujifua katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia eneo la CMC asubuhi na jioni katika uwanja wa Taifa wa Addis Ababa. Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa imekua ikijifua mara mbili kwa siku, kuhakikisha wachezaji wanakua vizuri kuelekea katika mchezo dhidi ya timu ya Taifa Misri mwishoni mwa wiki hii jijini Alexandria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXjunU2NCcE/VXVvmWKM5yI/AAAAAAAA_P0/-V1oHKSShYM/s640/thumb_IMG_2231_1024.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qf0Ys8XClOgiDTNvQapHdh1GUlCrhfaCgdE*cFp43RFJXe4OVLpVDUhhrNScA80zCKfQm3yBU6Yt42sxAdFKT5h/fmf.jpg?width=600)
YANGA YAENDELEA KUJIFUA, KUONDOKA KESHO UTURUKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA JIJINI ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
Stars ambayo iliwasili jana jioni jijini Addis Ababa imefikia katika hoteli ya Debre Damo iliyopo eneo na 22 Mazoiria ambapo itakaa kambi kwa kipindi cha wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Mapaharao.
Kocha Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2osnNF70-B0/VVXYlpCK9rI/AAAAAAABZZs/j7ofU4yPoa4/s640/8.jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
11 years ago
GPLSIMBA YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KINESI, DAR