SIMBA YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KINESI, DAR
Simba wakijifua. Chillo akiumiliki mpira. Kutoka kulia ni Edo, Baba Ubaya, Henry Joseph na Haruna Shamte.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s72-c/1.jpg)
TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z36_hzm3vZs/Vd2v-5x7SzI/AAAAAAAH0Lw/cnDEx-rvP4k/s640/3.jpg)
11 years ago
Presidency14 May
Kinesi eyes Simba vice
Daily News
Daily News
WITH barely hours to the deadline for picking and returning nomination forms for the forthcoming Simba Sports Club general election, 31 aspirants, including Acting Vice-Chairman Joseph Itangare, alias 'Mzee Kinesi', have joined the race. Kinesi is contesting ...
11 years ago
Mwananchi14 May
Mzee Kinesi ajitosa uchaguzi Simba
>Aliyekuwa Kaimu Makamu wa klabu ya Simba, Joseph Itang’are ‘Kinesi’ amejitosa kumvaa Swedi Nkwabi katika kinyang’anyiro cha uchaguzi ndani ya klabu hiyo utakaofanyika Juni 29.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s72-c/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s640/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro kimeendelea kujifua katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia eneo la CMC asubuhi na jioni katika uwanja wa Taifa wa Addis Ababa. Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa imekua ikijifua mara mbili kwa siku, kuhakikisha wachezaji wanakua vizuri kuelekea katika mchezo dhidi ya timu ya Taifa Misri mwishoni mwa wiki hii jijini Alexandria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXjunU2NCcE/VXVvmWKM5yI/AAAAAAAA_P0/-V1oHKSShYM/s640/thumb_IMG_2231_1024.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PtLqESbv-Rw/VjdIUfBt2OI/AAAAAAAID6E/KtCpQ0ob64I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-02%2Bat%2B2.23.35%2BPM.png)
TWIGA YAENDELEA KUJIFUA KUWAVAA MALAWI
![](http://4.bp.blogspot.com/-PtLqESbv-Rw/VjdIUfBt2OI/AAAAAAAID6E/KtCpQ0ob64I/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-02%2Bat%2B2.23.35%2BPM.png)
Twiga Stars iliingia kambini Oktoba 29, katika hosteli za Shirikisho zilizopo Karume, ina kikosi cha wachezaji 22 wanaofanya mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume.
Mchezo dhidi ya Malawi ni mchezo wa kirafiki wa...
11 years ago
Michuzimichuano ya Airtel Rising Stars Yaendelea kurindima uwanja wa karume jijini dar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA JIJINI ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
Stars ambayo iliwasili jana jioni jijini Addis Ababa imefikia katika hoteli ya Debre Damo iliyopo eneo na 22 Mazoiria ambapo itakaa kambi kwa kipindi cha wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Mapaharao.
Kocha Mkuu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qf0Ys8XClOgiDTNvQapHdh1GUlCrhfaCgdE*cFp43RFJXe4OVLpVDUhhrNScA80zCKfQm3yBU6Yt42sxAdFKT5h/fmf.jpg?width=600)
YANGA YAENDELEA KUJIFUA, KUONDOKA KESHO UTURUKI
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeendelea na mazoezi ya asubuhi katika viwanja vya hoteli ya Sueno katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kuanza safari kesho mchana ya kurejea nchini Tanzania tayari kwa mikikimikiki ya mzunguko wa pili wa VPL 2013/2014. Kocha mkuu Hans Van Der Plyum ameendelea kuwaandaa wachezaji wake na kuyafanyia marekebisho kadhaa yaliyojitokeza katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania