Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Kinesi ajitosa uchaguzi Simba

>Aliyekuwa Kaimu Makamu wa klabu ya Simba,  Joseph Itang’are ‘Kinesi’ amejitosa kumvaa Swedi Nkwabi katika kinyang’anyiro cha uchaguzi ndani ya klabu hiyo utakaofanyika Juni 29.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Presidency

Kinesi eyes Simba vice


Daily News
Kinesi eyes Simba vice-presidency
Daily News
WITH barely hours to the deadline for picking and returning nomination forms for the forthcoming Simba Sports Club general election, 31 aspirants, including Acting Vice-Chairman Joseph Itangare, alias 'Mzee Kinesi', have joined the race. Kinesi is contesting ...

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KINESI, DAR

Simba wakijifua. Chillo akiumiliki mpira. Kutoka kulia ni Edo, Baba Ubaya, Henry Joseph na Haruna Shamte.…

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM


Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu

 

9 years ago

Dewji Blog

Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam

unnamed (7)
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo,  jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30. 

Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii,  kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wainufaisha Simba

Vicky Kimaro, Mwananchi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

 

9 years ago

Michuzi

Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika kesho mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam

Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo,  jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan. Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii,  kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi Mkuu Simba Juni 29

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imetangaza kuanza kutoa fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kesho, tayari kwa uchaguzi utakaofanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam. Serikali ilipitisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani