Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wainufaisha Simba

Vicky Kimaro, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wazitesa Simba, Yanga

>Kuondoka kwa wachezaji Didier Kavumbagu na Frank Domayo katika klabu ya Yanga kunahusishwa kwa kiasi kikubwa na vuguvugu la uchaguzi wa klabu hiyo kongwe nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aingilia uchaguzi Simba

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameingilia wa uchaguzi wa Simba baada ya kutangaza kuusimamisha kwa madai ya kutoundwa kwa kamati za maadili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi Simba wapingwa kortini

WANACHAMA watatu wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, jana wamefungua kesi Katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiiomba itoe amri ya muda kuzuia uchaguzi mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi Mkuu Simba Juni 29

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imetangaza kuanza kutoa fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kesho, tayari kwa uchaguzi utakaofanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam. Serikali ilipitisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapya yaibuka uchaguzi Simba

WAKATI uchaguzi mkuu wa Simba ukiwa bado gizani, mengine yamezidi kuibuka baada ya kudaiwa Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti wake Dk. Damas Ndumbaro ni batili kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya uchaguzi Simba yatupwa

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekataa kutoa amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Simba uliopangwa kufanyika kesho, kutokana na maombi hayo ya zuio yaliyowalishwa...

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU WA SIMBA SC WAFANYIKA

Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti Simba SC, Evance Aveva akiongea na wanachama wakati wa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo unaofanyika katika bwalo la polisi, Oysterbay, Dar. Wanachama wa Simba wakipiga kura kuwachagua viongozi wao.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampeni uchaguzi Simba zaanza

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani