Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Yanga kisasi, Simba ubabe

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.

Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaendeleza ubabe kwa Yanga

Mshambuliaji Emmanuel Okwi alitumia juhudi binafsi kumtungua kipa, Ally Mustapha katika dakika ya 51 na kuipa Simba ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya wachezaji 10 wa Yanga jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA

 Kikosi cha timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na Wabunge mashabiki wa Simba. Beki wa timu ya Wabunge wa Simba, Wiliam Ngeleja akichuana na mshambuliaji wa Wabunge wa Yanga, Mwigulu Nchemba.Mshambuliaji wa timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete (kushoto), akimtoka beki wa timu ya Wabunge mashabiki wa Simba, Adam Malima katika mchezo wa Matumaini uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Mashabiki wakifuatilia...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani

>Ujerumani inakutana na Brazil inayocheza kwa nguvu nyingi katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Dunia, huku wenyeji hao wakipania kutwaa ubingwa kama zawadi kwa Neymar.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wainufaisha Simba

Vicky Kimaro, Mwananchi

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aingilia uchaguzi Simba

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameingilia wa uchaguzi wa Simba baada ya kutangaza kuusimamisha kwa madai ya kutoundwa kwa kamati za maadili.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wazitesa Simba, Yanga

>Kuondoka kwa wachezaji Didier Kavumbagu na Frank Domayo katika klabu ya Yanga kunahusishwa kwa kiasi kikubwa na vuguvugu la uchaguzi wa klabu hiyo kongwe nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya uchaguzi Simba yatupwa

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekataa kutoa amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Simba uliopangwa kufanyika kesho, kutokana na maombi hayo ya zuio yaliyowalishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi Simba wapingwa kortini

WANACHAMA watatu wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, jana wamefungua kesi Katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiiomba itoe amri ya muda kuzuia uchaguzi mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani