Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaendeleza ubabe kwa Yanga

Mshambuliaji Emmanuel Okwi alitumia juhudi binafsi kumtungua kipa, Ally Mustapha katika dakika ya 51 na kuipa Simba ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya wachezaji 10 wa Yanga jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

YANGA YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA,YAPIGWA KIKOJA LEO


Umati wa Washabiki wa Timu ya Simba ukiwa umefurika uwanja wa Taifa jijin Dar es salaam kuipa sapoti timu yao ambayo haikuwaangusha leo,baada ya kuwatandika bao 1 - 0 watani zao wa jadi Yanga,lililotiwa kimiani  kwa umaridadi mkubwa na Mshambuliaji,Emmanuel Okwi mnamo dakika ya 52 ya mchezo. Beki wa Timu ya Simba,Kessy Ramadhan akiwania mpira na Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Danny Mrwanda wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga kisasi, Simba ubabe

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.

Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA

 Kikosi cha timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na Wabunge mashabiki wa Simba. Beki wa timu ya Wabunge wa Simba, Wiliam Ngeleja akichuana na mshambuliaji wa Wabunge wa Yanga, Mwigulu Nchemba.Mshambuliaji wa timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete (kushoto), akimtoka beki wa timu ya Wabunge mashabiki wa Simba, Adam Malima katika mchezo wa Matumaini uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Mashabiki wakifuatilia...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaendeleza makali Mbeya

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Yanga wameiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-2.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY


Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame

Uongozi wa Yanga umetaja sababu nane zilizowafanya kutaka kupelekea kikosi chenye idadi kubwa ya wachezaji wa timu yao ya vijana (Yanga B) katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho mjini Kigali, Rwanda.

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NOMA, YAENDELEZA VIPIGO KWENYE UWANJA WA TAIFA


Mchezaji wa Yanga Muyu Twite akishangilia goli lake mara baada ya kuifungia Yanga goli la kwanza kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga imeendeleza wimbi la ushindi katika kuhakikisha inalitetea vyema taji lake baada ya leo kutoa kipigo kingine cha goli 3-0 mbele ya Tanzania Prisons ‘wajelajela’ kutoka jijini Mbeya kwenye mtanange uliomalizika jioni ya leo kwenye uwanja wa Taifa.
Yanga walianza kupata goli la kwanza kipindi cha kwanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani