Simba yaendeleza ubabe kwa Yanga
Mshambuliaji Emmanuel Okwi alitumia juhudi binafsi kumtungua kipa, Ally Mustapha katika dakika ya 51 na kuipa Simba ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya wachezaji 10 wa Yanga jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s72-c/MMGL0506.jpg)
YANGA YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA,YAPIGWA KIKOJA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s1600/MMGL0506.jpg)
Umati wa Washabiki wa Timu ya Simba ukiwa umefurika uwanja wa Taifa jijin Dar es salaam kuipa sapoti timu yao ambayo haikuwaangusha leo,baada ya kuwatandika bao 1 - 0 watani zao wa jadi Yanga,lililotiwa kimiani kwa umaridadi mkubwa na Mshambuliaji,Emmanuel Okwi mnamo dakika ya 52 ya mchezo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8caZsyog850/VPx2KFugA2I/AAAAAAAHIp0/pUZzaNTrEso/s1600/MMGL0169.jpg)
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Yanga kisasi, Simba ubabe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.
Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...
11 years ago
MichuziWABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA
9 years ago
Habarileo17 Aug
Yanga yaendeleza makali Mbeya
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Yanga wameiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-2.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Ni ubabe uchaguzi Simba
SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...
9 years ago
Vijimambo16 Aug
YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11863434_732791986867181_7612666654763943644_n1.jpg)
Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame
9 years ago
Vijimambo17 Sep
YANGA NOMA, YAENDELEZA VIPIGO KWENYE UWANJA WA TAIFA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Mbuyu-Twite.jpg)
Mchezaji wa Yanga Muyu Twite akishangilia goli lake mara baada ya kuifungia Yanga goli la kwanza kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga imeendeleza wimbi la ushindi katika kuhakikisha inalitetea vyema taji lake baada ya leo kutoa kipigo kingine cha goli 3-0 mbele ya Tanzania Prisons ‘wajelajela’ kutoka jijini Mbeya kwenye mtanange uliomalizika jioni ya leo kwenye uwanja wa Taifa.
Yanga walianza kupata goli la kwanza kipindi cha kwanza...