Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga kisasi, Simba ubabe

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.

Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yaendeleza ubabe kwa Yanga

Mshambuliaji Emmanuel Okwi alitumia juhudi binafsi kumtungua kipa, Ally Mustapha katika dakika ya 51 na kuipa Simba ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya wachezaji 10 wa Yanga jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA

 Kikosi cha timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na Wabunge mashabiki wa Simba. Beki wa timu ya Wabunge wa Simba, Wiliam Ngeleja akichuana na mshambuliaji wa Wabunge wa Yanga, Mwigulu Nchemba.Mshambuliaji wa timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete (kushoto), akimtoka beki wa timu ya Wabunge mashabiki wa Simba, Adam Malima katika mchezo wa Matumaini uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Mashabiki wakifuatilia...

 

10 years ago

Vijimambo

KOSHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR NA KISASI NA YANGA

Kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic.
Na Omary Mdose Wa GPL.KOCHA mpya wa Simba, Goran Kopunovic anaratajia kutua nchini leo saa 1:30 asubuhi akitokea nchini Hungary tayari kuingia mkataba na klabu hiyo na moja kwa moja kwenda Zanzibar.Kopunovic anatua nchini akiwa na ‘hasira’ au ‘kisasi’ kwa watani wa jadi wa Simba, Yanga kwa kuwa waliwahi ‘kumtema’.Miaka mitatu iliyopita, Yanga ilifanya mazungumzo na Kopunovic raia wa Serbia ili atue nchini kuinoa. Lakini wakati akiajiandaa kuja nchini,...

 

9 years ago

Mwananchi

UHONDO WA LIGI KUU: Simba na kisasi, Yanga, Azam kasi

Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa viwanja saba kuwaka moto,  huku bingwa mtetezi, Yanga ikishuka uwanjani kuikabili Prisons, wakati Azam  ikiwa ugenini Kambarage,  Shinyanga kuumana na Stand United  huku Simba  ikitaka kuendeleza ubabe Tanga na kulipa kisasi kwa Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakani, Tanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Simba wapanga kulipa kisasi

Wakati Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizipiga na Mbunge Hamis Kigwangallah katika masumbwi, timu ya Wabunge wa Mashabiki wa Simba imetamba kulipa kisasi kwa timu ya Wabunge wa Yanga katika tamasha la Usiku wa Matumaini lililopangwa kufanyika Agosti 8 kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga vita ya kisasi

‘Leo ndiyo leo, asiye na mwana aelekee jiwe’, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga ya Marcio Maximo katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi aiongoza Simba kulipa kisasi Taifa

Dar es Salaam. Simba imelipa kisasi kwa Mgambo JKT ya Tanga baada ya kuifunga mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani