Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame
Uongozi wa Yanga umetaja sababu nane zilizowafanya kutaka kupelekea kikosi chenye idadi kubwa ya wachezaji wa timu yao ya vijana (Yanga B) katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho mjini Kigali, Rwanda.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania