Mapya yaibuka uchaguzi Simba
WAKATI uchaguzi mkuu wa Simba ukiwa bado gizani, mengine yamezidi kuibuka baada ya kudaiwa Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti wake Dk. Damas Ndumbaro ni batili kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPrGq0RotcTubScjk42Svf1fMjASS7OXYAm2AMEBKDQlV31fYJTsJyowPgf0rc7XW7VS-6Lcq-ahB-NbwenM*lY/mapya.jpg)
MAPYA YAIBUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IO*l49JY475AJSHwJ-x*BbD-aZ4XMDYJ8GDo96ic5ZAhx-EHGCr6dlNomHsrZWI9grg*627-gHA-RxXBOQrIy5/Daladala.gif?width=650)
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwJOg5UqgxrgpVW47QOmzaiZhAE7kICt5U0crVVqXSywpN2u6zFV21XhXPdfCFQ6L0VzkBsE21RM-SK5RWPgb0cX/RUFAA.jpg?width=650)
Rufaa ya Cheka, mapya yaibuka
11 years ago
Habarileo26 May
Mapya yaibuka mtoto wa boksi
UTATA umeendelea kugubika tukio la mtoto kukutwa kwenye boksi katika mtaa wa Azimio mjini Morogoro akiwa ameishi humo kwa miaka mitatu, ambapo sasa imebainika kuwepo kwa shimo lililojaa maji jirani na alipokuwa amefungiwa mtoto huyo.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-FQ37ewEDSSI/VQGwjJqw0dI/AAAAAAAAB-I/avxoIi6CbTA/s72-c/mbatia%2Bpx.jpg)
Mapya yaibuka ajali ya Majinjah
Idadi ya waliokufa yaongezekaMbatia ajipanga kuchukua hatua
NA WAANDISHI WETU
IDADI ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha basi la Majinjah Express, kugongana uso kwa uso na lori, imeongezeka na kufikia 50.
Ajali hiyo iliyotokea juzi, Mufindi mkoani Iringa, ilisababisha kontena lililobebwa na lori hilo, kuangukia basi na kisha kuwabana abiria waliokuwemo na kusababisha vifo vya watu 42 papo hapo.
Hata hivyo, kumeibuka sintofahamu kuhusiana na idadi kamili ya watu waliokuwemo kwenye magari...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mapya yaibuka mkoani Tanga
Na Amina Omari, TANGA
JESHI la Polisi nchini limesema katika msako unaoendelea katika mapango ya Mleni mkoani hapa, ambayo watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uporaji silaha walikuwa wamejificha, wamefanikiwa kukuta ngedere watatu wakiwa wamekufa huku wakiwa na majeraha.
Pamoja na hilo pia jeshi hilo limefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa mmoja ambaye wamemkuta na bunduki aina ya SMG ambayo ni mali ya jeshi hilo pamoja na risasi 20.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa...
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Mapya yaibuka urais wa Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
SAKATA la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kuwania urais, limeibua mapya baada ya makatibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudai walipewa mafuta lita 60 na posho.
Wakizungumza jijini Mwanza jana kwa sharti la kutotajwa majina yao gazetini, baadhi ya makatibu hao walishangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Anthony Diallo, kudai kuwa hakukuwa na kikao hicho cha siri.
Walisema Diallo akiwa mwenyekiti wa CCM, anapaswa...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mapya yaibuka ajali ya ndege
TAKRIBANI mashuhuda wanane wameiambia Serikali ya Malasyia kuwa waliiona ndege ya Malaysia, MH 370, saa moja kabla haijapotea angani kupitia rada ya uraiani. Maelezo hayo yanaashiria kuwa ndege hiyo iligeuka kabla ya kupotea angani.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mapya yaibuka ndoa iliyovunjwa na mahakama
SAKATA la ndoa iliyovunjwa na Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya kubainika kuwa mume aliyeomba kuvunjwa kwa ndoa yake, Ndebile Kazuri, alimkatisha masomo...