Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani wa Kagame kuandamana Afrika.K

Chama cha upinzani cha Rwanda National Congress leo kinatarajiwa kuandaa maandamano ya raia wa Rwanda wanaoishi Afrika Kusini kulalamikia mauaji ya Kanali Patrick Karegeya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Tibaigana: Wapinzani wana haki kuandamana

Alfred Tibaigana alipokuwa kazini siku chache kabla ya kustaafu.
Katika mahojiano maalumu na gazeti hili nyumbani kwake Buganguzi wilayani Muleba, Kamishna Tibaigana alisema suala la maandamano halikumsumbua kwa kuwa alielewa kuwa sheria inayaruhusu, hivyo alichokuwa akifanya ni kuwaita viongozi wa vyama vinavyotaka kuandamana na kufanya nao makubaliano ya namna maandamano hayo yanavyopaswa yafanywe kabla ya kuyaruhusu.“Pengine hiyo ndiyo sababu sikuwahi kushambuliwa kwa maneno ya kejeli au...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame

Wapinzani wa rais wa Rwanda Paul Kagame wameshtumu mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko katiba ili kumruhusu kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika limetaja timu zitakazokwaana na Twiga Stars katika fainali za soka za wanawake Congo Brazzaville.

 

11 years ago

Habarileo

Katibu wa zamani Bunge la Afrika awakosoa wapinzani

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Bunge la Afrika na Kenya, Murumba Werunga, amevitaka vyama vya upinzani nchini, kuhakikisha vinachangia katika kutoa mawazo yao juu ya masuala ya maendeleo na si kupinga kila kitu kinachowasilishwa na Serikali.

 

10 years ago

Mtanzania

JK: Azam isiishie Kagame, ikashinde Afrika

PICHA KUBWA*Aipongeza kutokuwa tawi la Simba na Yanga
*Aeleza imepunguza ukame wa vikombe

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amewatakama bingwa wapya wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati,Azam kutoishia kushinda Kombe la Kagame pekee badala yake isonge mbele na kushinda mataji makubwa ya ubingwa Afrika.
Kikwete alitoa changamoto hiyo jana Ikulu wakati alipokutana na mabingwa hao wapya wa Kagame kwa ajili ya kumkabidhi kombe...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda

PIC 1 (2)

Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika  ili kujenga uchumi imara...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanayanga kuandamana

>Klabu ya Yanga imeomba kibali cha kufanya maandamano hadi ikulu kuushinikiza uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam kutoa majibu ya maombi yao heka 11 kwa ajili ya upanuzi wa Uwanja wa Kaunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamada kuandamana

WAFANYABIASHARA Ndogondogo Dar es Salaam wanatarajia kufanya maandamano ya amani mwezi ujao kupinga hatua ya serikali kuwafukuza kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara. Mwenyekiti wa Taasisi ya Jumuiya za Wafanyabiashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani